Pre GE2025 Video: Lissu amchabanga mwandishi wa Clouds, 'unaonekana hufuatilii kabisa maneno ninayozungumza na Media'

Pre GE2025 Video: Lissu amchabanga mwandishi wa Clouds, 'unaonekana hufuatilii kabisa maneno ninayozungumza na Media'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Katikati ya mahojiano yaliyofanywa na kituo cha televisheni cha Clouds mapema leo na Tundu Lissu ambaye ameonekana akimkosoa mwandishi wa kituo hicho Kijakazi Yunus ambaye katika uulizaji wake wa maswali Lissu amedai hajui baadhi mambo akimtaka kufuatilia zaidi dhidi ya yanayoendelea katika uchaguzi wa CHADEMA.

"Unapokuja kumuinterview mtu, unapaswa angalu uwe unajua kwenye hayo masuala ambayo unataka kuyajua"

"
 
Waandishi wa ovyoo huyu ujuaji na kujifanya anajua kila kitu..
Ukienda kumuoji watu wakubwa hawa waandishi hakikisheni mmesoma kwanza profile zao na kupitia interview zao vyema aina hii ya waandishi haufai ujuaji sana..
 
Do your homework waandishi unapoenda hoji mtu smart wa kiwango cha Lissu. If you cant do your homework bora acha. Being dominated na wewe ndio muandishi hadi unafikia pointi ya kujikuta kwenye angle unajitetea kwa makosa yako mwenyewe its just upuuzi na kujiexpose kiboya kabisa
 
Ndiyo shida watu waudaku wanapojaribu kujipenyeza kwenye mambo serious. Hivi huko Clouds hawana watu kweli wanaoweza kwwnda kuhoji watu aina ya Tundu Lissu kwenye mambo critical kama haya?
Huyu dafa nimeona anataka kuleta ubishani wa kioumbavu kabsa, but Lissu katumia maturity kumtuliza na u save her face
 
Huyu dada anaitwa kija hamna kitu hapo anajua kubishana na kuropoka ovyo mtu akiongea kukutatisha ni jambo la kawaida sijui amefikaje fikaje hapo maana hata muonekano wake hauvutii.

Ona anavyojibishana kitoto na Lissu halafu ni chawa wa CCM huyu.
 
Amedhalilika halafu hataki kukubali, Lissu kamuonea huruma kampa somo kwamba ukienda kumuhoji mtu fuatilia mahojiano yake mengine.

Na Lissu katumia busara zaidi kwa kumtajia vyombo vya kimataifa vilivyomhoji BBC na DW, kwamba Clouds ni chombo kidogo afahamu hilo.

Sasa Kija anapomwambia Lissu hawezi kufuatilia kila kitu ni vitu gani anavyoona anaweza kuwa mzania sawa na Lissu? Mambo anayofuatilia Lissu atayaweza?
Mpumbavu sana huyo dada.
 
Back
Top Bottom