Pre GE2025 Video: Lissu amchabanga mwandishi wa Clouds, 'unaonekana hufuatilii kabisa maneno ninayozungumza na Media'

Pre GE2025 Video: Lissu amchabanga mwandishi wa Clouds, 'unaonekana hufuatilii kabisa maneno ninayozungumza na Media'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katikati ya mahojiano yaliyofanywa na kituo cha televisheni cha Clouds mapema leo na Tundu Lissu ambaye ameonekana akimkosoa mwandishi wa kituo hicho Kijakazi Yunus ambaye katika uulizaji wake wa maswali Lissu amedai hajui baadhi mambo akimtaka kufuatilia zaidi dhidi ya yanayoendelea katika uchaguzi wa CHADEMA.

"Unapokuja kumuinterview mtu, unapaswa angalu uwe unajua kwenye hayo masuala ambayo unataka kuyajua"
View attachment 3203354
"
Alafu huyu dada anajifanya anakomaa pindi alipoona Lisu anamkosoa utafikiri anajua vile kumbe ni dada kilaza.

Alafu katika watangazaji vilaza kati ya hawa watatu mara nyingi huyu dada katika vipindi wanavyoviendeshaga namuonaga ni kilazi kweli.
 
Lissu yupo sawa, hata humu tuna wengi wa hivyo. Anakuja mtu anajiandikia tu.
Mtangazaji analeta hisia zake badala ya uhalisi kulingana na hotuba za Lissu
 
Huyo dada ni mwepesi sana ichwani! Pia generation hii kuna media personalities hawako well informed. Sijui ni ujuaji ndio unawafanya wasiingie maktaba kuchimba na kuchimbua takwimu na taarifa kabla ya mahojiano na mtu husika! Yani mtu akiona heading tu anataka ategeneze tumaswali tudogo dogo tu wakati kuna vitu vingi mhimu alipaswa kuuliza.
Inaonekana mambo anayosema Lissu anasimuliwa badala ya kuyafuatilia na kuyasikia mwenyewe
 
Mwandishi kilaza, her ego was touched when told hufuatilii, ni kweli she sounds uninformed and clueless. What a pity hii ndio kizazi cha uandishi wa sasa
Hata maswali anayouliza tu hajielewi au yupo framed kutaka kuonesha Lissu na mtu asiyetambua mchango wa wengine.

Lissu kugombea sio kwamba ana ugomvi na Mbowe. Anataka mabadiliko na ni haki yake
 
Katikati ya mahojiano yaliyofanywa na kituo cha televisheni cha Clouds mapema leo na Tundu Lissu ambaye ameonekana akimkosoa mwandishi wa kituo hicho Kijakazi Yunus ambaye katika uulizaji wake wa maswali Lissu amedai hajui baadhi mambo akimtaka kufuatilia zaidi dhidi ya yanayoendelea katika uchaguzi wa CHADEMA.

"Unapokuja kumuinterview mtu, unapaswa angalu uwe unajua kwenye hayo masuala ambayo unataka kuyajua"
View attachment 3203354
"
Tundu Lissu ni Good Mentor.

Sio unaamka tu asubuhi unakuja kumhoji Mtu kwenye mada ambayo hata ile minimum undertanding/ knowledge huna.

Hawa waandishia jamiinya kina Baba Levo na Mwijaku ni shida
 
Katikati ya mahojiano yaliyofanywa na kituo cha televisheni cha Clouds mapema leo na Tundu Lissu ambaye ameonekana akimkosoa mwandishi wa kituo hicho Kijakazi Yunus ambaye katika uulizaji wake wa maswali Lissu amedai hajui baadhi mambo akimtaka kufuatilia zaidi dhidi ya yanayoendelea katika uchaguzi wa CHADEMA.

"Unapokuja kumuinterview mtu, unapaswa angalu uwe unajua kwenye hayo masuala ambayo unataka kuyajua"
View attachment 3203354
"
Dada ametoa Tone ya Paniki wazi wazi kabisa.

Hii ilikuwa Hard Talk
 
Sema mwandishi ana kaujuaji flani hivi nimeona
Mh Lissu anamwambia Kuwa Inaonyesha Kiasi Gani Hufatilii Mahojiano yangu.

Dada anajibu Tena on air kuwa nafatalia ila sifatilii kila kitu!

Like seriously 😳? Mwandishi wa habari unajibu hivyo? Sasa ka huchimbi deep other interview's nyingine za mtu unayetala kufanya nae Mahojiano ili kujua Nini kipya Cha kuuliza na kutorudia maswali yaliyokwisha kuulizwa huoni huo ni upuuzii

Afu kalikuwa kana argue kabisa
 
Mh Lissu anamwambia Kuwa Inaonyesha Kiasi Gani Hufatilii Mahojiano yangu.

Dada anajibu Tena on air kuwa nafatalia ila sifatilii kila kitu!

Like seriously 😳? Mwandishi wa habari unajibu hivyo? Sasa ka huchimbi deep other interview's nyingine za mtu unayetala kufanya nae Mahojiano ili kujua Nini kipya Cha kuuliza na kutorudia maswali yaliyokwisha kuulizwa huoni huo ni upuuzii

Afu kalikuwa kana argue kabisa
Nimemshangaa kweli yani
 
Back
Top Bottom