The Conscious
JF-Expert Member
- Mar 18, 2021
- 740
- 1,218
Hii nchi kuna mahali tumekosea,huo siyo ujasiri ni kama kuna internal forces inayofanya ujinga wetu uwe unique siku zote mahali popote pa nchi yetu,ni ajabu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuingia Main road kwa reverse bila kutuma mtu azuie magari ambayo teyari yako Barabarani ni kosa.Huyu mpuuzi anaonekana alikua ana ona kabisa mwenzie anarudi nyuma yeye anafosi kuja kwakua yupo main road.
Shenzi kbsa
Umaskini ni kitu ya kupiga vita sana.Wakuu,
Kwenye hii video huyu ni dereva wa hili lori akirekodi tukio zima kwa ajili ya kumuonesha bosi wake.
Ni hasara.
Kilichonisikitisha zaidi ni kuona kuna watu wanachota mafuta hapo wakisahau kabisa kuwa hilo gari likilipuka ni hatari sana kwao.
Watu wana confidence sana kwa kweli. Mimi nikiwa kwenye daladala au private car nikipishana tu na lori la mafuta napata trauma ila watu wana ujasiri kabisa na kwenda na madumu ya mafuta kukinga.
Nimepata maswali mengi mno.
View attachment 3182680
Umaskini ni kitu ya kupiga vita sana.Wakuu,
Kwenye hii video huyu ni dereva wa hili lori akirekodi tukio zima kwa ajili ya kumuonesha bosi wake.
Ni hasara.
Kilichonisikitisha zaidi ni kuona kuna watu wanachota mafuta hapo wakisahau kabisa kuwa hilo gari likilipuka ni hatari sana kwao.
Watu wana confidence sana kwa kweli. Mimi nikiwa kwenye daladala au private car nikipishana tu na lori la mafuta napata trauma ila watu wana ujasiri kabisa na kwenda na madumu ya mafuta kukinga.
Nimepata maswali mengi mno.
View attachment 3182680
Unapenda vifo.Aje mwamba awashe kiberiti serikari ihangaike kuzika
Vifo vya wajinga navipenda sana aisee.Unapenda vifo.