VIDEO: Maandamano makubwa nje ya lango kuu la Mererani muda huu baada ya mlinzi wa ofisi ya bilionea Laizer kuuawa kimizengwe

VIDEO: Maandamano makubwa nje ya lango kuu la Mererani muda huu baada ya mlinzi wa ofisi ya bilionea Laizer kuuawa kimizengwe

Inasemekana jamaa alikua na wanaohusika na kifo ni walikua hao inasemekana
 
Na kwanini wewe umehitimisha kuwa ni serikali ya ccm?

Kwa sababu ni kawaida yao na Matukio ni kitu kinacho onekana /kusikika tofauti na Imani za kishirikina (Mkaafara) zisizo onekana au kuaminika na wengine.
 
Hivi ire peesa ya Laizer ire haikua pea ya CCM??
 
Mpaka sasa haijulikani.
Wengine wanasema kafara!
Nani kaitoa hiyo kafara?
Hatujui ni CCM, Laizer au Vyombo vya dola?

Tusubiri Pole Pole ataitisha Press na kusema wahusika ni Lissu na Chadema!
Sio sahihi kuihusianisha CCM na mambo usiyokuwa na uhakika nayo, kama hujui ni heri unyamaze
 
Kwa sababu ni kawaida yao na Matukio ni kitu kinacho onekana /kusikika tofauti na Imani za kishirikina (Mkaafara) zisizo onekana au kuaminika na wengine.
Mbona juzi nyie chadema mmeuwa kada wa ccm njombe? Na mka choma ofisi za chadema arusha ili tu ccm ndo ionekane inahusika.
 
Mbona juzi nyie chadema mmeuwa kada wa ccm njombe? Na mka choma ofisi za chadema arusha ili tu ccm ndo ionekane inahusika.

Hizi Kesi zipo Mahakamani ,subiri mpaka pale Mahakama itakapo thibitisha tuhuma hizi.
 
Hizi Kesi zipo Mahakamani ,subiri mpaka pale Mahakama itakapo thibitisha tuhuma hizi.
Hakuna hukumu ambayo mahakama imetoa kwa upinzani (chadema) bila upinzani (chadema)kuja kulalamikia mahakama ni CCM ata kama kesi sio za kisiasa.
 
Sina uhakika na chanzo changu cha habari. Ila zinazoenea chinichini ni kuwa marehemu alitaka kuvusha kigonga (jiwe) akiwa kaliweka mdomoni huku kavaa barakoa. Either aliuzwa na mtu au wajeshi walimshtukia, wakajipa hadhi ya mahakama na wakampa kichapo. Matokeo yake ndo jamaa akawafia na ndugu zake kuja juu na mengine ndo kama yanavyoendelea. Narudia tena, mimi sikushuhudia, nimeambiwa tu na mtu aliye karibu na walio karibu na tukio
 
Hakuna hukumu ambayo mahakama imetoa kwa upinzani (chadema) bila upinzani (chadema)kuja kulalamikia mahakama ni CCM ata kama kesi sio za kisiasa.

Sheria inatutaka hivyo ,hauwezi kusema Chadema wame husika na Mauaji/Chadema wame choma Ofice zao bila ya kuthibitishwa na Mahakama.
 
Back
Top Bottom