Video: Mafisadi jitahdini angalau kutoa mikopo kwa vijana

Video: Mafisadi jitahdini angalau kutoa mikopo kwa vijana

Slowly

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
10,589
Reaction score
35,268
Bila shaka pesa ya hii nchi ipo mikononi mwa mafisadi , mama anakusanya huko na kule ikifika mezani wahuni wanagawana , the worst ni kuwa wengi huficha hzo hela nje ya nchi ,

Kama hii video inaonyesha kabisa huyu fisadi hajui hata pa kuzipeleka hzo hela ameishia kuzitandaza tuu sebuleni .....

Niwashauri kitu mafisadi mana sioni wa kuwadhibiti kwa sasa , basi mkimaliza kugawana hzo hela , mfano fisadi aliye mdogo sana hakodi mil 500 kwa mwaka, tafta challenge hata ya vijana 100 wenye idea za uwekezaji , uzipitie wale utakaoona wanajielewa , uwakopeshe au uwape kila mmoja 1 million ya mtaji , utakuwa umesaidia sana , mafisafi 1000 mkifanya hvyo kila mwaka , ina maana vijana laki moja kila mwaka wananufaika,

Basi million 100 zinasaidia vijana , nyingine waweza tumia, ni ushauri tuu

 
Sijui ni zenyewe hizo au inakuwaje? Mbona hatari sana!
 
Shekh musa duaaa, kazana kuomba duaaa, na kweli baada ya kuomba dua tu mlango ulifunguka na nikaweza kuliona jua na kuvuta hewa safi kwa mara nyingine...
 
Pesa ni shaitwaan kabisa
Hapo mke wangu hawez sema ameolewa
 
Imesemwa sana hii last week. Kuficha hela nje ni ufisadi mara mbili.
 
Akijaribu ataulizwa umezitoa wapi?

Life made to be aggressive
 
Usiamini kila pesa uionapo mtandaoni

Fake fake money ziko za kumwaga tu

Ova
 
Back
Top Bottom