ROYAL TOUR KUONGEZA IDADI YA WATALII KUPATA CHANGAMOTO
View: https://m.youtube.com/watch?v=Bl1CZq_Uwr4
Mr Chambulo mwenye uzoefu wa industry ya utalii na mwenyekiti wa mawakala wa utalii wa muda mrefu katika mazungumzo exclusive pia anatuonesha mazingira ya maeneo ya utalii.
---
Mafuriko yanayotokana na mvua kubwa zilizonyesha katika wilaya ya Kondoa na mkoa wa Manyara yamesababisha madhara yaliyoathiri maeneo mbalimbali ya utalii mkoani Manyara
Moja kati ya eneo lililoathirika kwa kiasi kikubwa ni eneo la Maramboi mkoani Manyara ambapo huwa ni sehemu maalumu ya kambi za watalii ambao hufika kumpumzika kabla na baada ya kwenda kwenye mbugani.
View: https://m.youtube.com/watch?v=Bl1CZq_Uwr4
Mr Chambulo mwenye uzoefu wa industry ya utalii na mwenyekiti wa mawakala wa utalii wa muda mrefu katika mazungumzo exclusive pia anatuonesha mazingira ya maeneo ya utalii.
---
Mafuriko yanayotokana na mvua kubwa zilizonyesha katika wilaya ya Kondoa na mkoa wa Manyara yamesababisha madhara yaliyoathiri maeneo mbalimbali ya utalii mkoani Manyara
Moja kati ya eneo lililoathirika kwa kiasi kikubwa ni eneo la Maramboi mkoani Manyara ambapo huwa ni sehemu maalumu ya kambi za watalii ambao hufika kumpumzika kabla na baada ya kwenda kwenye mbugani.