ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
February mwezi wa mahaba mtatupa tena points 3Yanga mwaka huu kama watachukua kombe basi ni kwa mbindeeeeeeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
February mwezi wa mahaba mtatupa tena points 3Yanga mwaka huu kama watachukua kombe basi ni kwa mbindeeeeeeeee
Lilikuwa ni goli zuri... shida ya watanzania ni kwamba, eti kama unaipenda Yanga basi hauoni uzuri kwenye timu nyingine... huo ni ushabiki maandaziKama goli la Aziz ki..manula akabaki kabinua makalio
Imekuwa kwa mbinde tena,,nyie endeleeni kuota ndoto nyingine uwa zinakuwa kweli inategemea na muotaji anakuwa amelala kifudifudi au chali🤣🤣Yanga mwaka huu kama watachukua kombe basi ni kwa mbindeeeeeeeee
Nimesema ikiwa mtapata..bado nina mashaka kama mtalipata 😀 😀 😀Imekuwa kwa mbinde tena,,nyie endeleeni kuota ndoto nyingine uwa zinakuwa kweli inategemea na muotaji anakuwa amelala kifudifudi au chali🤣🤣
Miwa imegoma kuliwa. Watu wakachomoaMagoli yanaonekana, yanapikwa yanapakuliwa. Kipindi cha kwanza unapigwa kipindi cha pili unanyukwa. Mwana kulitaka mwana kulipewa. Boli linatembea. Ni magoli mixer, yapo ya uwezo binafsi yapo ya mfumo wa sayansi ya mpira.[emoji818][emoji817]