Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana kichwa kigumu sana😀😀😀 jamaa huyu
Hapo Bashite anafikiria namna gani atajiua maana jamii inamchukia mno
Hapana aisee, usihukumu kabila lazima kwa ajili ya wajinga wawili watatu.Tuache masihara, kuna makabila huwa hawana aibu kabisa
Huyu jamaa hana aibu kabisa.Hapana aisee, usihukumu kabila lazima kwa ajili ya wajinga wawili watatu.
Huyu jamaa hana aibu kabisa.
Jamii ya watu kama hawa iko kila sehemu ila Usukumani niliiona kwa centigrade kubwa sana
AhahahahaHili jamaa ukiliangalia vizuri ni jinga sana... unajua ule ujinga fulani uliopitiliza...Sema kwakuwa ni kiumbe cha Allah, basi tushukuru tu.
Unajidanganya sana, Makonda hana akili kiasi cha kuwaza hivyo...=zero brainHapo Bashite anafikiria namna gani atajiua maana jamii inamchukia mno
Sana lazima ipasukeEbu msifieni kidogo, ana miss sana hilo.
kama cha jeshi konde boy 😀😀😀Ana kichwa kigumu sana