VIDEO : Manara azomewa na mashabiki baada ya Yanga kula Kichapo

Joined
Aug 24, 2021
Posts
72
Reaction score
65
Baada ya timu ya wananchi kuchezea kichapo katika siku ya tamasha lao pendwa.
Msemaji wa mpya Haji Manara aka Bugatti amerekodiwa akizomewa na mashbiki wenye hasira kali.

#PoleSanaManara
Your browser is not able to display this video.
 
Wanakwambia ile ni mechi tu ya kirafiki atuwezi kuumia nafsi,swali linakuja,"kwanini mlishangilia Makambo alipofunga goli?
Kama mlipofunga mlishangilia ndo hivyohivyo mkifungwa mtaumia nafsi.
"uwezi kuukimbia ukweli abadan"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…