Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ohoooo!!!Mmmh
Umenikumbusha Tukuyu maeneo ya soko mjinga
Watu kama Kimpo kile
Watu kama Manuku
Sent from my INE-LX2 using JamiiForums mobile app
AiseeeeKituko ni uhuru wa Tanganyika sherehe zinaongozwa na mhamiaji haramu
Anapoteza muda wake bure Magufuli hayupo yuko kwa Mungu wake. Alipashwa kuongea alipokuwepo asituchoshe bure!Msikilize hapa:
Kumbe Mwandishi ni wewe???Msikilize hapa-:
Bahati mbaya video inagoma kui-copy na kui--paste.
Video ipo Twitter katika akaunti ya Martin Maranja Masese na kaandika hivi:
"Lumuli Alipipi Kasyupa, mbunge wa zamani wa Kyela, 1970-1975, msikilize mzee wetu huyu, kuna wakati bado wakiwa hai, tutawavisha nishani kwa kusema ukweli hata kama watawala waliziba masikio. Demokrasia baada ya miaka 60 ya uhuru ni mbovu sana. Wazee wanazungumza vijana tunaogopa."
Ukweli lazima usemwe hata kama kwenu ni mchungu. Lissu aliekuwa akiongea kilichompata wote tunakijua hivyo wacheni watu waendelee kusema hata leo hii.Anapoteza muda wake bure Magufuli hayupo yuko kwa Mungu wake. Alipashwa kuongea alipokuwepo asituchoshe bure!
Wacha magufuli avune alichopanda.Anapoteza muda wake bure Magufuli hayupo yuko kwa Mungu wake. Alipashwa kuongea alipokuwepo asituchoshe bure!
Kama alivyovuna mama yako!Wacha magufuli avune alichopanda.
Yuko kuzimu huyo shetani. Alikataa kukosolewa akiwa hai tutamkosoa akiwa amekufa.Kama alivyovuna mama yako!
Msikilize hapa-:
Bahati mbaya video inagoma kui-copy na kui--paste.
Video ipo Twitter katika akaunti ya Martin Maranja Masese na kaandika hivi:
"Lumuli Alipipi Kasyupa, mbunge wa zamani wa Kyela, 1970-1975, msikilize mzee wetu huyu, kuna wakati bado wakiwa hai, tutawavisha nishani kwa kusema ukweli hata kama watawala waliziba masikio. Demokrasia baada ya miaka 60 ya uhuru ni mbovu sana. Wazee wanazungumza vijana tunaogopa."
Haikusaidii mwenzako may be yuko mbinguni anakula upepo tu wakati wewe bado unaendelea kupata tabu zile zile alizokuacha nazo!!Yuko kuzimu huyo shetani. Alikataa kukosolewa akiwa hai tutamkosoa akiwa amekufa.
Ni jina "Alipipi...yukaribu!Hilo jina ALIPIPI Ni la utani au ndio jina lake?
Tena ni jina la ubatizoHilo jina ALIPIPI Ni la utani au ndio jina lake?
Magufuli yuko kwa Mungu?Anapoteza muda wake bure Magufuli hayupo yuko kwa Mungu wake. Alipashwa kuongea alipokuwepo asituchoshe bure!
π π π πHilo jina ALIPIPI Ni la utani au ndio jina lake?