Vipi yuko kwako au?Magufuli yuko kwa Mungu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi yuko kwako au?Magufuli yuko kwa Mungu?
Mbona umesahau,kuwa alipewa uenyekiti wa Chadema na Mbowe baada ya kuhangaika sana mara TLP mara team Lowassa n.kKwa wasiomfahamu huyu Mzee amewahi kuwa Mbunge wa jimbo la Kyela na Naibu Waziri wa Kilimo, wakati wa utawala wa Nyerere, ni Mcha Mungu sana na ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika sana Wilayani Kyela na Mkoa wa Mbeya kwa Ujumla.
Hebu chota busara hizi kutoka kwake
Vyovyote vile ilivyo lakini hawezi kuwa kwa MUNGU.Vipi yuko kwako au?
SijasahauMbona umesahau,kuwa alipewa uenyekiti wa Chadema na Mbowe baada ya kuhangaika sana mara TLP mara team Lowassa n.k
Mzee huyu nae anahangaika sana na anapenda madaraka,awali alikimbilia TLP akawa mwenyekiti baadae akarudi CCM akawa team Lowassa alipokosa akakimbilia Chadema ,Mbowe akampa uenyekiti wa Chadema wa wilaya kwa kuwalazimisha wana Chadema kuwa huyu kuanzia leo ndio anakuwa mwenyekiti wenu, ameenda wee Chadema wenyewe wakamwambia mzee pumzika kaa pembeni, sasa anacholalamika sikijui ni porojo tu za utu uzima.Anapoteza muda wake bure Magufuli hayupo yuko kwa Mungu wake. Alipashwa kuongea alipokuwepo asituchoshe bure!
Manuku alifarikiMmmh
Umenikumbusha Tukuyu maeneo ya soko mjinga
Watu kama Kimpo kile
Watu kama Manuku
Sent from my INE-LX2 using JamiiForums mobile app
Kwani wewe ndiyo mwaamuzi nani aende kwa Mungu ama la?Vyovyote vile ilivyo lakini hawezi kuwa kwa MUNGU.
Oooh kumbe anasumbuliwa na njaa tu.Mzee huyu nae anahangaika sana na anapenda madaraka,awali alikimbilia TLP akawa mwenyekiti baadae akarudi CCM akawa team Lowassa alipokosa akakimbilia Chadema ,Mbowe akampa uenyekiti wa Chadema wa wilaya kwa kuwalazimisha wana Chadema kuwa huyu kuanzia leo ndio anakuwa mwenyekiti wenu, ameenda wee Chadema wenyewe wakamwambia mzee pumzika kaa pembeni, sasa anacholalamika sikijui ni porojo tu za utu uzima.
Hata wewe siyo mwamuzi ,kwanini uhitimishe kuwa yuko kwa Mungu.Matendo ya Kila mmoja yata determine wapi uende ,lakini Kwa Magu hatuhitaji X-ray kujua yuko wapi.Kwani wewe ndiyo mwaamuzi nani aende kwa Mungu ama la?
Who are you? Mpaka umsemee Mungu?? Mimi nimwtumia neno Labda yuko kwa Mungu wake wewe unakuja na utopolo wako eti kwa sababu alikunyoosha kwenye wizi na uuza madawa ya kulevya wako!!Hata wewe siyo mwamuzi ,kwanini uhitimishe kuwa yuko kwa Mungu.Matendo ya Kila mmoja yata determine wapi uende ,lakini Kwa Magu hatuhitaji X-ray kujua yuko wapi.
Kimpo mtoto wa Mwakyoma?Mmmh
Umenikumbusha Tukuyu maeneo ya soko mjinga
Watu kama Kimpo kile
Watu kama Manuku
Sent from my INE-LX2 using JamiiForums mobile app
Mzee huyu nae anahangaika sana na anapenda madaraka,awali alikimbilia TLP akawa mwenyekiti baadae akarudi CCM akawa team Lowassa alipokosa akakimbilia Chadema ,Mbowe akampa uenyekiti wa Chadema wa wilaya kwa kuwalazimisha wana Chadema kuwa huyu kuanzia leo ndio anakuwa mwenyekiti wenu, ameenda wee Chadema wenyewe wakamwambia mzee pumzika kaa pembeni, sasa anacholalamika sikijui ni porojo tu za utu uzima.
Wewe magu2016 unajuwa kabisa ndugu yenu alikuwa anaua wakosoaji, bado ulitaka huyu Mzee aseme wakati wa uhai wa yule Dikteta? Angemuua kama Ben Saanane au kama aluvyotaka kunuua Lissu.Anapoteza muda wake bure Magufuli hayupo yuko kwa Mungu wake. Alipashwa kuongea alipokuwepo asituchoshe bure!
Kama hujamuelewa Kasyupa hapa basi labda Munntu gwako fikajamo nafimoMzee huyu nae anahangaika sana na anapenda madaraka,awali alikimbilia TLP akawa mwenyekiti baadae akarudi CCM akawa team Lowassa alipokosa akakimbilia Chadema ,Mbowe akampa uenyekiti wa Chadema wa wilaya kwa kuwalazimisha wana Chadema kuwa huyu kuanzia leo ndio anakuwa mwenyekiti wenu, ameenda wee Chadema wenyewe wakamwambia mzee pumzika kaa pembeni, sasa anacholalamika sikijui ni porojo tu za utu uzima.
Kasyupa awe na njaa ? uliza uambiwe , ukapuku ni huko kwenuOooh kumbe anasumbuliwa na njaa tu.
Ana nini?Kasyupa awe na njaa ? uliza uambiwe , ukapuku ni huko kwenu
Mimi na wewe nani mwenye njaa,wenye njaa wanajulikana ikiwa pamoja na wewe na hao jamaa zako walamba viatu vya gaidiAkili ndogo ndio huzungumzia watu badala ya kuzungumzia hoja!! hapa hoja ya Alipipi Kasyupa ni jinsi DEMOKRASIA ilivyonyongwa nchini huku nchi ikishehrekea miaka 60 ya uhuru wa TANGANYIKA. Hapo ndio mjadala ujikite badala ya hizo propaganda za wenye njaa!
Shida ni kuwa wewe umeanza kumfahamu huyu mzee alipohamia kwenye SACCOS yenu sisi wengine tunamfahamu kabla hata wewe hujamjua,mengine hatutaki kuyasema hapa tusije tukamvunjia heshima huyu mzee,mwache tu apumzike, kuongea na kulaumu serikali ni haki yake kikatiba sawa na wewe ulivyo na haki yako ya kumsemea gaidi kila kunapokuchwa hapa JF.Kama hujamuelewa Kasyupa hapa basi labda Munntu gwako fikajamo nafimo
Mimi na wewe nani mwenye njaa,wenye njaa wanajulikana ikiwa pamoja na wewe na hao jamaa zako walamba viatu vya gaidi