Video: Marekani na IDF ilifanya operesheni iliyofeli Yemen na Wanajeshi 70 waliuawa

Video: Marekani na IDF ilifanya operesheni iliyofeli Yemen na Wanajeshi 70 waliuawa

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi,

Angalia hizo video
Marekani na
IDF ilifanya operesheni iliyofeli katika huko Yemen na Wanajeshi wao 70 waliuawa hapo hapo.

Msikilize Kanali wa Marekani Douglas Macgregor. Akieleza kilichotokea huko Yemen.

Video ingine ni Maiti za Wanajeshi wa Marekani na Israel zikiwa zimesambaa baada ya kushambuliwa na Wayemen.


 
Mmmh, video hii hii iliwekwa wakati waasi wa Mali walipowashambulia askari wa Wagner group katika ile ambush
Leo hii tena naona video ile ile kuwa ni askari na Merikani na Israel? Wakuu hebu wazee wa kudadavua watusaidie hilo
 
Mmmh, video hii hii iliwekwa wakati waasi wa Mali walipowashambulia askari wa Wagner group katika ile ambush
Leo hii tena naona video ile ile kuwa ni askari na Merikani na Israel? Wakuu hebu wazee wa kudadavua watusaidie hilo
Na hii video iliwekwa lini?

Mali wanaisho Waarabu wa Yemen?
 

Attachments

  • 65e09ce9-f3a2-4880-9e19-04bcfbe46574.mov
    7.2 MB
Wanaukumbi,

Angalia hizo video
Marekani na
IDF ilifanya operesheni iliyofeli katika huko Yemen na Wanajeshi wao 70 waliuawa hapo hapo.

Msikilize Kanali wa Marekani Douglas Macgregor. Akieleza kilichotokea huko Yemen.

Video ingine ni Maiti za Wanajeshi wa Marekani na Israel zikiwa zimesambaa baada ya kushambuliwa na Wayemen.
Huu uzi mashoga wa JF hawausogelei, na anaeusogelea tu, utamjuwa, hawajifichi mashoiga zao wakiumbuliwa.
 
We unaita ku fail ila kwao ni funzo la kuwa Bora zaidi
 
Back
Top Bottom