The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
Niamini mimi yupo na yeyeBikra maria hayupo kwenye huo ujinga....watakufa kama nzige
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niamini mimi yupo na yeyeBikra maria hayupo kwenye huo ujinga....watakufa kama nzige
Mashoga si ndiyo wanachoelewa hicho? Matusi tu.Hawataki kusikiliza wanatukana tu😀
Mzee Uharo bana, unapenda sana kuhara.Wanaukumbi,
Angalia hizo video
Marekani na
IDF ilifanya operesheni iliyofeli katika huko Yemen na Wanajeshi wao 70 waliuawa hapo hapo.
Msikilize Kanali wa Marekani Douglas Macgregor. Akieleza kilichotokea huko Yemen.
Video ingine ni Maiti za Wanajeshi wa Marekani na Israel zikiwa zimesambaa baada ya kushambuliwa na Wayemen.
Sasa hiyo video ya kamanda wa marekani pia ni propaganda ,huko israel kaishiwa wanajeshi na hapo anapigana na mgambo tu, na turkey kazuia kuingiza chochote israel, kuna upungufu wa chakula, magari na bidhaa muhimu israel ambaye amekuwa akitegemea viwanda vya turkey, huku red sea hali tetePropaganda za wasaka bikra.
Wao kazi yao ni kuwaza kumwaga damu tuu
Uharo mtupu.Hi
Mzee Uharo bana, unapenda sana kuhara.
Kwa hiyo baada ya Col Douglas claim kuwa wanajeshi wa Israel na US wameuawa baada ya ku infiltrate Yemen ukaamua kwenda kutafuta ka video kasiko husiana ili kunogesha furaha yako.
Yote aliyoyaongea Douglas amekiri kwamba ameambiwa na hana uhakika maana ni open source, na akaendelea kutoa mawazo yake akisema “anahisi”. Sasa wewe umeileta kama breaking news. Au hupendi kusikiliza details kwa kuwa utaishia kutoipenda habari yote?
Wewe punguani kweli chuki yanguHuyu Ritz kama ni mtanzania serikali imchunguze sana mtu huyu anachuki ya ajabu na wasiokuwa waislamu. Ipo siku atajilipua ama kuchinja watu kama kuku nchi hii. Waislamu ni jamii ya watu wasiopenda amani kbs wao wakiona damu inamwagika kwao burudaani kabisa
Kwani maiti zimeonesha pia vitambulisho vyao kuwa ni wa Yemen? Mtu yeyote aweza kuedit na kupachika maneno yake hapo na kudai ni Afghanistan, ni Marekani, ni Sudan ni Israel n.k.Na hii video iliwekwa lini?
Mali wanaisho Waarabu wa Yemen?
Hapana mkuu hana chuki na wasiokuwa waislamu ila kuna udhalimu mkubwa wapalestina wanafanyiwa na mazayuni huku baadhi ya watu wakishangilia ,ila wenye akili timamu wakiwemo wakristo na waisrael wakichukia ukandamizaji huuHuyu Ritz kama ni mtanzania serikali imchunguze sana mtu huyu anachuki ya ajabu na wasiokuwa waislamu. Ipo siku atajilipua ama kuchinja watu kama kuku nchi hii. Waislamu ni jamii ya watu wasiopenda amani kbs wao wakiona damu inamwagika kwao burudaani kabisa
Ni ngumu kwa mkristo wa tanzania kuamini chochote kibaya kwa israel ,hata waisrael wenyewe hawapo kama nyieKwani maiti zimeonesha pia vitambulisho vyao kuwa ni wa Yemen? Mtu yeyote aweza kuedit na kupachika maneno yake hapo na kudai ni Afghanistan, ni Marekani, ni Sudan ni Israel n.k.
Pampers zimefumuliwa mavi njePropaganda za wasaka bikra.
Wao kazi yao ni kuwaza kumwaga damu tuu
Kwani maiti zimeonesha pia vitambulisho vyao kuwa ni wa Yemen? Mtu yeyote aweza kuedit na kupachika maneno yake hapo na kudai ni Afghanistan, ni Marekani, ni Sudan ni Israel n.k.
Hawa Walokole wa JF wengi ni majinga sana yanapiga wakati -US Col. Douglas Macgregor, anakubali kweli Yemen wameuwa Wanajeshi wa Marekani na Israel.Ni ngumu kwa mkristo wa tanzania kuamini chochote kibaya kwa israel ,hata waisrael wenyewe hawapo kama nyie
Mali walishambuliwa Wagner pamoja na wanajeshi wa mali unge ona rangi nyeusi ata moja apoMmmh, video hii hii iliwekwa wakati waasi wa Mali walipowashambulia askari wa Wagner group katika ile ambush
Leo hii tena naona video ile ile kuwa ni askari na Merikani na Israel? Wakuu hebu wazee wa kudadavua watusaidie hilo
Kwani unadhani hakuna wapinzani dhidi ya Serikali miongoni mwa Wayahudi wa Israeli? Sio kila taarifa kutoka vyombo vya habari vilivyopo Israeli ni Taarifa sahihi. Utaaminije magazeti, Radio na Tvs za udaku?A number can be considered true if Israeli media itself admits to it.
"Yedioth Ahronoth newspaper said some 1,000 soldiers are transferred every month to the Defence Ministry’s rehabilitation department due to injuries sustained in Gaza."
middleeastmonitor.com/20240805-at-le…
Hapana. Uongo na Uzushi vitabaki kuwa ni uongo na uzushi hata kama vimesemwa na IDF, Marekani, Houthis na wanaofanana na hao.Ni ngumu kwa mkristo wa tanzania kuamini chochote kibaya kwa israel ,hata waisrael wenyewe hawapo kama nyie
Wewe upo wapi Uyole?Kwani unadhani hakuna wapinzani dhidi ya Serikali miongoni mwa Wayahudi wa Israeli? Sio kila taarifa kutoka vyombo vya habari vilivyopo Israeli ni Taarifa sahihi. Utaaminije magazeti, Radio na Tvs za udaku?