Janerose mzalendo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,881
- 2,813
Bado kuna hadithi nyingine ambayo iliondolewa kule google .mwanamke alitolewa funza nyingi sana mwilini.wanadhani hatujui chochote kuhusu tz. Acha waendeleze unafiki ila ukweli tunaujua.Wewe unazijua longolongo za wabongo ama unazisikiaga tu? Jiggers wreak havoc in Mbeya rural communities Soma habari hizi hapa kutoka kwa wanahabari wa kitanzania, kuhusu funza ambao waliwafanya wanakijiji wa Itete, Wilaya ya Rungwe maeneo ya Ml. Rungwe kule MBEYA, nadhani ni nchini Kenya, wahame kutoka kwa vijiji vyao kwasababu ya imani yao kwamba funza ni uchawi.