Video: Matibabu ya Funza Kenya, wakenya milioni Mbili wanasumbuliwa na Funza

Bado kuna hadithi nyingine ambayo iliondolewa kule google .mwanamke alitolewa funza nyingi sana mwilini.wanadhani hatujui chochote kuhusu tz. Acha waendeleze unafiki ila ukweli tunaujua.
 
Akili yako ina funza!
 
Akili yako ina funza!
Kweli kabisa, funza kama hawa ambao maceleb wenu wa Big Brother walikuwa wanawatoa kutoka kwa watoto waliovamiwa nao kule Moshi, Kenya.
https://www.the-star.co.ke/news/201...-brother-stars-fight-jiggers-in-moshi_c704792 Soma hapo ujionee mwenyewe walivosema kwamba funza ni janga kuu kule mashinani Moshi, Kenya. Huyo mrembo aliyechuchumaa hapo kando ni Cecilia Mwangi aliyekuwa Miss Kenya na alileta kampeni yake ya kuangamiza funza hadi huko huko Moshi, Kenya.
 
Tazama video ya Kusikitisha,Africans tuna safari ndefu bado.

Tazama.
Niliwahi kuwa nao kipindi nikiwa nakaa kijijini yaani we acha tu tena hasa kutokana na kukaaa kwenye nyumba isiyo sakafiwa,kutembea pekupeku, n.k
 
Word
 
Ldc
 
Unajua majirani zetu mna tambo nyingi sana zisizo na msingi mnasahau kuwa bado sisi sote E.A tuna safari ndefu. Tunahitaji zaidi kushikamana kuliko kushindana au kuchambana. Nchi zetu zote bado zina kazi kubwa hasa kwenye Sekta ya Afya. Kila nchi ina matatizo yake. Cha msingi ni kushirikiana zaidi kuliko kushindana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…