Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Harakati za ku-please wananchi katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye kampeni zinaendelea.
Mbunge ambaye alikuwa ana miaka 5 ya kuwaletea maji wananchi leo hii anasimama mbele ya Rais anasema kabisa kuwa siku maji yakija ataoga hadharani.
Mbunge wa Handeni akiwa anaongea mbele ya Rais Samia ambaye yuko kwenye ziara ya kikazi mkoani Tanga alisema:
"Mheshimiwa Rais kwa furaha niliyonayo mimi Mbunge wa Handeni, siku maji yatakapotiririka baada ya mradi huu mkubwa kukamilika mimi nimewaahidi wananchi hawa nitaoga hadharani. Hicho mnachosubiri kukiona hamtakiona maana ntaoga na nguo"
Harakati za ku-please wananchi katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye kampeni zinaendelea.
Mbunge ambaye alikuwa ana miaka 5 ya kuwaletea maji wananchi leo hii anasimama mbele ya Rais anasema kabisa kuwa siku maji yakija ataoga hadharani.
Mbunge wa Handeni akiwa anaongea mbele ya Rais Samia ambaye yuko kwenye ziara ya kikazi mkoani Tanga alisema:
"Mheshimiwa Rais kwa furaha niliyonayo mimi Mbunge wa Handeni, siku maji yatakapotiririka baada ya mradi huu mkubwa kukamilika mimi nimewaahidi wananchi hawa nitaoga hadharani. Hicho mnachosubiri kukiona hamtakiona maana ntaoga na nguo"