Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
🤣🤣🤣Mkuu rekebisha picha yako bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Mkuu rekebisha picha yako bhana
[emoji16][emoji16][emoji16]Kuna mwaka Kongo walikwenda kombe la dunia na wachawi wote wa Kongo ,wakacheza na FRANCE walipigwa goli sita kwa mtungi hivyo uchawi hauna nafasi
Kesho anakalishwa huyoIpe caption hiiView attachment 1793234
Ile ya kaizer ilikua ya muda kama hii ya kwenu mikia,siku ile jamaa walikufungeni kimpira tu kama watakavyowafunga kesho pa1 na miuchawi yenu,msemaji wenu kafiwa na bibi yake huko leo sijui ndio kafara na lenyewe!mnaamini ndumbaBora huyu kafanyia nje ya Uwanja wale Wazulu walifanya kunyunyiza dawa ndani ya pitch yenyewe.
ohoooo!!Ile ya kaizer ilikua ya muda kama hii ya kwenu mikia,siku ile jamaa walikufungeni kimpira tu kama watakavyowafunga kesho pa1 na miuchawi yenu,msemaji wenu kafiwa na bibi yake huko leo sijui ndio kafara na lenyewe!mnaamini ndumba
Hii ni photo shop hata mtoto mdogo anaigundua,hivi ni kwanini Utopolo hamna ujuzi wa kutengeneza fitna,kila mkianzisha fitna zinafeli,why?View attachment 1793237
Visit kwa Babu
Kushinda inawezekana ila ushindi usio na faida la kwa wanaobet tuKesho anakalishwa huyo
View attachment 1793280
Wanarogwa mpaka warogeke hawa wajinga. Na leo wote watafanyishwa kazi za punda usiku kucha!
Kuweni wazalendo basi jamani !View attachment 1793280
Wanarogwa mpaka warogeke hawa wajinga. Na leo wote watafanyishwa kazi za punda usiku kucha!
Uzalendo ndo huu..Kuweni wazalendo basi jamani !
Uzalendo ndo huu..