dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,991
Sasa hao vijana wa CCM wakiimba hawamtaki kuna ajabu gani?Yaani CCM aimbe kuwa hamtaki mpinzani kisha iwe ni ajabu?!Na bado.. Muda si mrefu wataimba hawamtaki mtalii wa kibelgiji.
Hahah endeleeni tu kujifariji! Mwenyekiti wenu hana chake huko Hai! Maskini DJ ndo mana yupo kimya sana!Hao ni wahuni waliokodishwa na maccm.
Hapana, awe muungwana awaombe radhi. Aliwaudhi sana wale wauza ndizi aliposhauri wafungiwe ndani eti kuna korona, wangekula nini?!Natabiri Leo. Yaliyomtokea Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr Kreluuu yatakuja kumtokea mkuu wa wilaya ya Hai.
Lini Mungu anajua
Hahah endeleeni tu kujifariji! Mwenyekiti wenu hana chake huko Hai! Maskini DJ ndo mana yupo kimya sana!
Wamechachamaa pamoja na hawara ya bibi yako mzaa babu yako?We umeona kuna kijana wa CCM hapo? Hao ni BAVICHA wamechachamaa tulieni.
Na bado.. Muda si mrefu wataimba hawamtaki mtalii wa kibelgiji.
Waangalie vizuri hao ndio waliompigia kura awamu iliyopita. Kwa style hii naona bora atafute shughuli nyengine ya kufanya.Vijana wahuni wa CCM wakiimba hawamtaki Mbowe kuna ajabu gani hapo....?
Mbowe alikuwa bado hajalewa bapa?Hiyo ndio demokrasia bwana!! inabidi uwe na ngozi ngumu kama ya mh Prezida kule Kagera! Lakini mbona kama wamelewa chakari?
Tulia dawa iingie mtoto..Wamechachamaa pamoja na hawara ya bibi yako mzaa babu yako?
Chadomo mnaweweseka em angalia vizuri hiyo video kiufupi DJ wenu hakubaliki na hawamtaki Hai ! Labda humu Jf !Sasa hao vijana wa CCM wakiimba hawamtaki kuna ajabu gani?Yaani CCM aimbe kuwa hamtaki mpinzani kisha iwe ni ajabu?!
Mbona km wamevuta cha arushaHapa ni leo Hai ambapo inaonekana watu wale wa awali pamoja na wengine wameongezeka na kuharibu mkutano wa Mbowe huko Narum kabla hata haujaanza.
Nashangaa ni kwa nini Hai? Lazima hatua zichukuliwe la sivyo tutaanza kulaumiana!