Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini hii?IMBOMBO NGAFU
Kukosa busara ni kitu kibaya sana.Hapa ni leo Hai ambapo inaonekana watu wale wa awali pamoja na wengine wameongezeka na kuharibu mkutano wa Mbowe huko Narum kabla hata haujaanza.
Nashangaa ni kwa nini Hai? Lazima hatua zichukuliwe la sivyo tutaanza kulaumiana!
Zwazwa Baba yako tulia wewe! Matusi ndo jadi yenu si ndio!Angalieni hili ZWAZWA jingine la lumumba!
Chadema hayo ndio mambo yao.Mbona km wamevuta cha arusha
Hapa ni leo Hai ambapo inaonekana watu wale wa awali pamoja na wengine wameongezeka na kuharibu mkutano wa Mbowe huko Narum kabla hata haujaanza.
Nashangaa ni kwa nini Hai? Lazima hatua zichukuliwe la sivyo tutaanza kulaumiana!
Muingizie iyo dawa hawara ya bibi yako mzaa babu yako?Tulia dawa iingie mtoto..
Zwazwa Baba yako tulia wewe! Matusi ndo jadi yenu si ndio!
Labda wewe ndio umevuta cha arusha !Mbona km wamevuta cha arusha
Genge la political mercenaries lililokodiwa na afisa kipenyo wa Hai.Hapa ni leo Hai ambapo inaonekana watu wale wa awali pamoja na wengine wameongezeka na kuharibu mkutano wa Mbowe huko Narum kabla hata haujaanza.
Nashangaa ni kwa nini Hai? Lazima hatua zichukuliwe la sivyo tutaanza kulaumiana!
Naomba yatokee tuNatabiri Leo. Yaliyomtokea Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr Kreluuu yatakuja kumtokea mkuu wa wilaya ya Hai.
Lini Mungu anajua
Mbona kuna uzi humu mlikuwa mnaona ajabu wafuasi wa chadema wamemzomea Magu Kagera?Sasa hao vijana wa CCM wakiimba hawamtaki kuna ajabu gani?Yaani CCM aimbe kuwa hamtaki mpinzani kisha iwe ni ajabu?!
Hao ni wahuni wa ccm waliolipwa na mkuu wa wilaya na hawatabadili chochote zaidi ya kuendekea kuwadanga nyie wapuuzi.We umeona kuna kijana wa CCM hapo? Hao ni BAVICHA wamechachamaa tulieni.