Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wahuni wa chadema wakisema hawamtaki Magu kuna ajabu?Vijana wahuni wa CCM wakiimba hawamtaki Mbowe kuna ajabu gani hapo....?
Thats obviousHao ni wahuni waliokodishwa na maccm.
Shetani hanaga rafiki wa kidumu, Ole Sabaya atajutia hayaNatabiri Leo. Yaliyomtokea Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr Kreluuu yatakuja kumtokea mkuu wa wilaya ya Hai.
Lini Mungu anajua
ningejua nisingekuwa nampaga assyment zanguNatabiri Leo. Yaliyomtokea Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr Kreluuu yatakuja kumtokea mkuu wa wilaya ya Hai.
Lini Mungu anajua
Wana alama gani?We umeona kuna kijana wa CCM hapo? Hao ni BAVICHA wamechachamaa tulieni.
Mirungi na ugoroHiyo ndio demokrasia bwana!! inabidi uwe na ngozi ngumu kama ya mh Prezida kule Kagera! Lakini mbona kama wamelewa chakari?
Thats obvious
Plus ugoro na gongoUnakuta wamepewa buku 5 kufanya hiyo kazi!
Kuweza kujitekenya na kucheka mwenyewe ni KIPAJIWe umeona kuna kijana wa CCM hapo? Hao ni BAVICHA wamechachamaa tulieni.
Mse**** Poyoyo mwenyewe.Angalieni hili ZWAZWA jingine la lumumba!
HAAAHAAAA. LAZIMA WATANZANIA WENYE AKILI TIMAMU WALIPIGANIE TAIFAA LAO.Hapa ni leo Hai ambapo inaonekana watu wale wa awali pamoja na wengine wameongezeka na kuharibu mkutano wa Mbowe huko Narum kabla hata haujaanza.
Nashangaa ni kwa nini Hai? Lazima hatua zichukuliwe la sivyo tutaanza kulaumiana!
Mbona mashuda wameshuhudiaNa bado hata Lissu amezomewa Katoro lakini wandishi wameficha.
Kumbe jimboni kwa mbowe nako kuna vijana wa ccm, nawakati hiyo ngome ya chadema???Vijana wahuni wa CCM wakiimba hawamtaki Mbowe kuna ajabu gani hapo....?