Pre GE2025 Video: Mbunge wa Malinyi Morogoro achafuka kama mtoto baada ya kutembea kwenye matope akishangaa kwanini jimbo lake lina miundombinu mibovu

Pre GE2025 Video: Mbunge wa Malinyi Morogoro achafuka kama mtoto baada ya kutembea kwenye matope akishangaa kwanini jimbo lake lina miundombinu mibovu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Hivi nyie wenzangu mnawaelewa hawa CCM?

Huyu Mbunge wa Malinyi anamlalamikia nani kwamba Jimbo lake lina miundombinu mibovu kiasi hiki?

Hii ni video ambayo amepost katika Instagram yake. Anasema kwamba hapo gari yake ilikuwa imenasa katika tope, kitongojini Kalihanya, Baada ya hekaheka za kujinasua, hali ndio ikawa hivi.

Ni aibu Mbunge kulialia mtandaoni kwamba barabara ni mbovu meanwhile ulikuwa bungeni miaka 5 kazi yako ilikuwa ni ku-advocate barabara zitengenezwe.

CCM punguzeni kutia tia huruma kwa wananchi. Tengenezeni barabara

 
Wakuu,

Hivi nyie wenzangu mnawaelewa hawa CCM?

Huyu Mbunge wa Malinyi anamlalamikia nani kwamba Jimbo lake lina miundombinu mibovu kiasi hiki?

Hii ni video ambayo amepost katika Instagram yake. Anasema kwamba hapo gari yake ilikuwa imenasa katika tope, kitongojini Kalihanya, Baada ya hekaheka za kujinasua, hali ndio ikawa hivi.

Ni aibu Mbunge kulialia mtandaoni kwamba barabara ni mbovu meanwhile ulikuwa bungeni miaka 5 kazi yako ilikuwa ni ku-advocate barabara zitengenezwe.

CCM punguzeni kutia tia huruma kwa wananchi. Tengenezeni barabara

Hilo ni tumbo la kawaida au ni mimba?
 
Wakuu,

Hivi nyie wenzangu mnawaelewa hawa CCM?

Huyu Mbunge wa Malinyi anamlalamikia nani kwamba Jimbo lake lina miundombinu mibovu kiasi hiki?

Hii ni video ambayo amepost katika Instagram yake. Anasema kwamba hapo gari yake ilikuwa imenasa katika tope, kitongojini Kalihanya, Baada ya hekaheka za kujinasua, hali ndio ikawa hivi.

Ni aibu Mbunge kulialia mtandaoni kwamba barabara ni mbovu meanwhile ulikuwa bungeni miaka 5 kazi yako ilikuwa ni ku-advocate barabara zitengenezwe.

CCM punguzeni kutia tia huruma kwa wananchi. Tengenezeni barabara

Hayo maji yangechanganywa na pilipili kidogo ili next time apunguze dhihaka kwa mwenyekiti wake wa CCM
 
Wakuu,

Hivi nyie wenzangu mnawaelewa hawa CCM?

Huyu Mbunge wa Malinyi anamlalamikia nani kwamba Jimbo lake lina miundombinu mibovu kiasi hiki?

Hii ni video ambayo amepost katika Instagram yake. Anasema kwamba hapo gari yake ilikuwa imenasa katika tope, kitongojini Kalihanya, Baada ya hekaheka za kujinasua, hali ndio ikawa hivi.

Ni aibu Mbunge kulialia mtandaoni kwamba barabara ni mbovu meanwhile ulikuwa bungeni miaka 5 kazi yako ilikuwa ni ku-advocate barabara zitengenezwe.

CCM punguzeni kutia tia huruma kwa wananchi. Tengenezeni barabara

Jina la Mbunge liko wapi?
 
Mimi nilimuona mbunge wetu amelala bungeni ajabu ni kwamba aliposikia wenzake wanagonga meza kupongeza naye akaanza kugonga meza vilevile tena akiwa amesimama.

Nikajiuliza huyu anajua hata kilicho ongelewa maana muda wote alikuwa amelala mara baada ya wagonga meza kwa nguvu nae akaunga
 
Wakuu,

Hivi nyie wenzangu mnawaelewa hawa CCM?

Huyu Mbunge wa Malinyi anamlalamikia nani kwamba Jimbo lake lina miundombinu mibovu kiasi hiki?

Hii ni video ambayo amepost katika Instagram yake. Anasema kwamba hapo gari yake ilikuwa imenasa katika tope, kitongojini Kalihanya, Baada ya hekaheka za kujinasua, hali ndio ikawa hivi.

Ni aibu Mbunge kulialia mtandaoni kwamba barabara ni mbovu meanwhile ulikuwa bungeni miaka 5 kazi yako ilikuwa ni ku-advocate barabara zitengenezwe.

CCM punguzeni kutia tia huruma kwa wananchi. Tengenezeni barabara

CCM wana penda siasa za hadaa na ulaghai sana,siku zote alikuwa wapi, huyo wapige chini tu asiwafanye watu wajinga.
 
Back
Top Bottom