Pre GE2025 Video: Mbunge wa Malinyi Morogoro achafuka kama mtoto baada ya kutembea kwenye matope akishangaa kwanini jimbo lake lina miundombinu mibovu

Pre GE2025 Video: Mbunge wa Malinyi Morogoro achafuka kama mtoto baada ya kutembea kwenye matope akishangaa kwanini jimbo lake lina miundombinu mibovu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Hivi nyie wenzangu mnawaelewa hawa CCM?

Huyu Mbunge wa Malinyi anamlalamikia nani kwamba Jimbo lake lina miundombinu mibovu kiasi hiki?

Hii ni video ambayo amepost katika Instagram yake. Anasema kwamba hapo gari yake ilikuwa imenasa katika tope, kitongojini Kalihanya, Baada ya hekaheka za kujinasua, hali ndio ikawa hivi.

Ni aibu Mbunge kulialia mtandaoni kwamba barabara ni mbovu meanwhile ulikuwa bungeni miaka 5 kazi yako ilikuwa ni ku-advocate barabara zitengenezwe.

CCM punguzeni kutia tia huruma kwa wananchi. Tengenezeni barabara

Election time goes hand in hand with campaign season and plenty of drama.
 
Hii ni mijitu mipumbavu ikikaa bungeni kwenye viti vya kuzunguka na kunesanesa kazi yao ni kumsifia mtawala wakitoka nje huko kwa wananchi wanawababaisha kwa kulalamika,ingekuwa kuna uchaguzi huru dawa yao ni kuwapiga chini tu wabunge kama hao.
 
Wakuu,

Hivi nyie wenzangu mnawaelewa hawa CCM?

Huyu Mbunge wa Malinyi anamlalamikia nani kwamba Jimbo lake lina miundombinu mibovu kiasi hiki?

Hii ni video ambayo amepost katika Instagram yake. Anasema kwamba hapo gari yake ilikuwa imenasa katika tope, kitongojini Kalihanya, Baada ya hekaheka za kujinasua, hali ndio ikawa hivi.

Ni aibu Mbunge kulialia mtandaoni kwamba barabara ni mbovu meanwhile ulikuwa bungeni miaka 5 kazi yako ilikuwa ni ku-advocate barabara zitengenezwe.

CCM punguzeni kutia tia huruma kwa wananchi. Tengenezeni barabara

Shubamit! Huyu ni miongoni mwa Wabunge wa hovyo kabisa kuwahi kutokea Tanganyika.

Hiyo Sanaa anayofanya inatia kinyaa!! Hovyo kabisa
 
Wakuu,

Hivi nyie wenzangu mnawaelewa hawa CCM?

Huyu Mbunge wa Malinyi anamlalamikia nani kwamba Jimbo lake lina miundombinu mibovu kiasi hiki?

Hii ni video ambayo amepost katika Instagram yake. Anasema kwamba hapo gari yake ilikuwa imenasa katika tope, kitongojini Kalihanya, Baada ya hekaheka za kujinasua, hali ndio ikawa hivi.

Ni aibu Mbunge kulialia mtandaoni kwamba barabara ni mbovu meanwhile ulikuwa bungeni miaka 5 kazi yako ilikuwa ni ku-advocate barabara zitengenezwe.

CCM punguzeni kutia tia huruma kwa wananchi. Tengenezeni barabara

Wamepewa daraja zuri na imara, na kupunguziwa vifo vya ajali mto Kilombero bado hajaridhika??. Mahenge-Ulanga mpaka hapo wamependelewa sana. Anajidhalilisha bure kujilowesha matope.
 
Back
Top Bottom