Ni bora wabaki kule kwamaana utapeli uko organised and systematic.Ujumbe huu umenishtua kidogo lakini naamini ni ujumbe wa dhati unabeba ukweli mkubwa sana kuhusu makanisa yanayoibuka hovyo kila siku.
Mchungaji Lusekelo anasema ni afadhali wakristo wa madhehebu ya zamani wabaki kwenye makanisa yao kuliko kukimbilia miujiza kwenye makanisa ya maombezi kwani mengi ni utapeli mtupu!
Nampongeza Mchungaji Lusekelo kwa kuwa mkweli.
file:///var/mobile/Library/SMS/Attachments/85/05/B9E9E771-3C60-4DE2-8EB0-BD296E605D6E/8847b96a-39d4-47c7-b83f-d97c1d114027.MP4
m for moneyHi ni kwanini hawa Manabii wengi wao hawapendani?
Kazi wanaifanya moja ya kulitangaza neno la Mungu lakini wanatupiana maneno...
Huyo kasema ukweli, huwa namsikia anasema yeye anafundisha neno la Mungu ni mtumishi tu sio nabii ,kuna yule mwingine Mwakasege yeye anajiita Mwalimu, hawa hawataki kona konaHi ni kwanini hawa Manabii wengi wao hawapendani?
Kazi wanaifanya moja ya kulitangaza neno la Mungu lakini wanatupiana maneno...
Tapeli akiwemo yeye mwenyeweUjumbe huu umenishtua kidogo lakini naamini ni ujumbe wa dhati, unabeba ukweli mkubwa sana kuhusu makanisa yanayoibuka hovyo kila siku.
Mchungaji Lusekelo anasema ni afadhali wakristo wa madhehebu ya zamani wabaki kwenye makanisa yao kuliko kukimbilia miujiza kwenye makanisa ya maombezi kwani mengi ni utapeli mtupu!
Nampongeza Mchungaji Lusekelo kwa kuwa mkweli.
file:///var/mobile/Library/SMS/Attachments/85/05/B9E9E771-3C60-4DE2-8EB0-BD296E605D6E/8847b96a-39d4-47c7-b83f-d97c1d114027.MP4
Zumaridi mwacheni yule,Hawa wote ni manabii wa Mungu,ila yeye Zumaridi ni MunguHuyo kasema ukweli, huwa namsikia anasema yeye anafundisha neno la Mungu ni mtumishi tu sio nabii ,kuna yule mwingine Mwakazege yeye anajiita Mwalimu, hawa hawataki kona kona
Sasa imagine mtu anaenda kusali kwa Zumaridi
Mnywa nyagi huyo,Hana jipyaVipi kwake kupo salama? ...... ukifuatilia sana mambo ya dini kuna namna una kuwa kama zuzu ivi hata ukiambiwa ukweli huamini tena
😂 Mungu gani watu wanajipigia, kuna jamaa yangu ni askari pale butimba anasema walikuwa wakimpeleka zumaridi mahakamani buku ten ten zinarushwa na waumini wake, askari wanachukua maana zumaridi hazitakiZumaridi mwacheni yule,Hawa wote ni manabii wa Mungu,ila yeye Zumaridi ni Mungu
Wakijipigia umungu wake unaisha!?😂 Mungu gani watu wanajipigia, kuna jamaa yangu ni askari pale butimba anasema walikuwa wakimpeleka zumaridi mahakamani buku ten ten zinarushwa na waumini wake, askari wanachukua maana zumaridi hazitaki
Naunga mkono hojaDini ninayoiyamini niile inayoanza kuandaa mbegu inakuza mmea wake na kuyaona matunda yake
Hizi ambazo zinataka matunda tuu ni biashara siyo dini
Wote ni walewale....atakuwa anasumbuliwa na wivu tu
Ujumbe huu umenishtua kidogo lakini naamini ni ujumbe wa dhati, unabeba ukweli mkubwa sana kuhusu makanisa yanayoibuka hovyo kila siku.
Mchungaji Lusekelo anasema ni afadhali wakristo wa madhehebu ya zamani wabaki kwenye makanisa yao kuliko kukimbilia miujiza kwenye makanisa ya maombezi kwani mengi ni utapeli mtupu!
Nampongeza Mchungaji Lusekelo kwa kuwa mkweli.
file:///var/mobile/Library/SMS/Attachments/85/05/B9E9E771-3C60-4DE2-8EB0-BD296E605D6E/8847b96a-39d4-47c7-b83f-d97c1d114027.MP4