Video: Mchungaji Anthony Lusekelo awaonya wakristo madhehebu mengine wasiende kwenye makanisa ya maombezi watatapeliwa!

Video: Mchungaji Anthony Lusekelo awaonya wakristo madhehebu mengine wasiende kwenye makanisa ya maombezi watatapeliwa!

Hiki chuo kikuu Cha manabii kipo wapi mkuu NAMI niende!?
 
Nina kamradi kangu ka pwagu na pwaguzi... Kuna mchungaji mmoja huwa anapotea aa aa..... akiibuka ananunua OLIVE OIL kama zote...

Sk 1 nikamuuliza... za nn hizi? Akanijibu ana kanisa na ananunua kwa ajili ya waumini wake... nikamuelewa
 
Dini ninayoiyamini niile inayoanza kuandaa mbegu inakuza mmea wake na kuyaona matunda yake
Hizi ambazo zinataka matunda tuu ni biashara siyo dini
🤣 kwamba Pokea ndoa, pokea utajiri, Pokea magari, pokea nyumba
 
Ni bora wabaki kule kwamaana utapeli uko organised and systematic.

Kwasababu hakuna namna yeyoye ya kumzuia mtu anayetaka kutapeliwa asitapeliwe
Ni bora kajitangaza kuwa nae ni utapeli maana nae huwa anaombea/tapeli watu wake.
 
🤣 kwamba Pokea ndoa, pokea utajiri, Pokea magari, pokea nyumba
Izo ni biashara kaka ukimaliza unatoa na sadaka ya kujimaliza
Dini niile inapeleka mafundisho kwa jamii aloooh dini inakulea toka ukiwa mtoto
Unadhani watakuita ukiwa mtoto wallabies pokea pipi, pokea mdoli, alafu Huna fungu la kuwapa😀😀
 
Link yako jaribu kui paste vizuri ili mtu aende moja kwa moja! Haya makanisa ya maombezi na kufata utabiri na miujiza ni hatari sana. Bora turudi na makanisa yetu ya zamani Mungu ni mmoja.
Wengine wameumizwa na kurudi nyuma kimafanikio
Tena kabisa hayafai mamikono yao yamejaa nguvu za giza ukiguswa kwenye paji la uso shida ndo zinazidi wa ovyo sana
 
Ujumbe huu umenishtua kidogo lakini naamini ni ujumbe wa dhati, unabeba ukweli mkubwa sana kuhusu makanisa yanayoibuka hovyo kila siku.

Mchungaji Lusekelo anasema ni afadhali wakristo wa madhehebu ya zamani wabaki kwenye makanisa yao kuliko kukimbilia miujiza kwenye makanisa ya maombezi kwani mengi ni utapeli mtupu!

Nampongeza Mchungaji Lusekelo kwa kuwa mkweli.

file:///var/mobile/Library/SMS/Attachments/85/05/B9E9E771-3C60-4DE2-8EB0-BD296E605D6E/8847b96a-39d4-47c7-b83f-d97c1d114027.MP4
Makubaliano naye.lakini pia itakuwa apiga mtu jiwe la gizani baada ya kuona anazidiwa.
 
Back
Top Bottom