Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo

Rwakatare is a bufoon.

Lakini, kwa nini aliyeshangilia habari za Zitto msaliti kuuawa anakuwa habari kubwa kuliko aliyesema habari za Zitto msaliti kuuawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo kwa huyu Mama Ni kuwa yy Ni kiongozi was dini ni tofauti na mtu aliye tamka Zitto kuuawa.kama kiongozi wa dini alipaswa kulikemea na siyo kushangilia
 
KUMBE huyo mama Ni mbunge

ARUSHA KWETU
 
Kwa hiyo akubali kuuwa akiwa nje ya madhabahu? Kwanini mnakuwa wajinga kiasi hiki.kwa hiyo kuwa mwaminifu kwa MUNGU ukiwa madhabahuni tu?. MNAPOTEA KWA KUTOJUA MAANDIKO
kwa huyu hakuna cha maandiko, ni mjasiriamalli wa injili tu usipo angalia wewe ndo utapotea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…