physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 859
- 1,036
Huko Iraq wapo pia wakristo,na wapo wasio na dini.Hata huyu dada sio mislamu,mwanamke wa kiislamu hakai kichwa wazi.Kudadadeki. Nini kinakufanya uamini Waarabu ni ndugu zako? Hata baada ya kuona huo ukatili bado tu unaamini ni ndugu zako?
Nenda ulaya,ukaone wanavyouana ovo.Yupo kijana wa kizungu aliua waumini wenzake kanisani,kwa kuwa ni weusi.Mzungu ndiye race bora kuliko zote hapa duniani
Sio kweli.Huyu anaficha ukweli,aseme alipatiwa kazi na nani huko?Kuna nchi yani hata hupaswi kuwaza kwenda.
Hasa nchi za waarabu.
Hapo ndio kwenye shida, kazi ya house girl ukishareport kazini kurudi ni baada ya mwaka au miaka miwili ndio unapewa ticket ya safai. sasa ukianza uswahili ya ooh Mama anaumwa au naomba ruhusa nimefiwa shida ndio zinaanzia hapohuyu atakuwa amepeleka uswahili kwenye kazi za watu (ubishi na ujuaji) ndio wameamua kumnyoosha sasa anaanza kusumbua watu!
Tumia akili,huyu anaficha ukweli,kuna jambo bzya amefanya,hasemi,vipi watu watumie ghrama za kukusafirisha kikazi,halafu ukatae kazi.Wengi wakifika kwenye kazi,wanakuwa wavivu,hawafanyikazi.Mbona wengi,wasio wavivu,wamerudi na pesa za maana,na kujenga mpaka maghorofa,na kupata mitaji.Acha kulamba makalio ya binadamu wenzako wewe masikini na mtumwa wa akili. Tabia na race ni mtu na dada sababu race ni kundi la watu linalo-share tamaduni.
Acha kuandika upuuzi na kutetea hao kima watumia vyoo.
Hata kama ingekuwa fake, how ingebadirisha uhalisia? Au wewe ni mwarabu?
Huu ndio ukweli,wengi wakipatiwa kazi wanazichezea,mwajiri katoa gharama ya kukuleta kwenye kazi,unaleta ujuaji,ndio maana nchi nyingi,wanachukuwa,wahindi kwa kazi.Hapo ndio kwenye shida, kazi ya house girl ukishareport kazini kurudi ni baada ya mwaka au miaka miwili ndio unapewa ticket ya safai. sasa ukianza uswahili ya ooh Mama anaumwa au naomba ruhusa nimefiwa shida ndio zinaanzia hapo
Race hii hii inayosapoti ushoga na usagaji.Mzungu ndiye race bora kuliko zote hapa duniani
uko TEGETA na unapata guts za kuita huu ni uongo.Kisaikolojia: ANADANGANYA sijui dhumuni lake nini behind this. hiki kilio ni cha uongo 100%
Hakika you are NOT ''the dumb professor''. Kwanza mtu unakwendaje Iraq kufanya kazi? Kweli kabisa unachukuliwa nyumbani kwenda Iraq kufanya kazi tena ya ndani? Video za aina hii ziko nyingi sana na zinatokana na hawa watu wa Mashariki ya Kati, hasa waarabu kuchukulia wafanyakazi wa kiafrika kama watumwa. Kwao mwafrika hasstahili kula chakula wanachokula wao. Kna mmoja alisema mwajiri wake alikuwa anakwenda kujisaidia halafu akimaliza kukata kimba anatoka chooni na kumwambia aka-flush.Kila siku mnaambiwa waarabu sio watu hamuelewi...akome
Kuna dada mmoja wa kitanga alimsokomezea mti wa fagio sehemu za siri mfanyakazi wake wa ndani. Haya mambo hayana uarabuAcha chuki na wale wanaoteswa hapa hapa bongo na wakinamama waliokosa malezi hao ni waarabu nao.
Huyo bahati mbaya tu kaangukia kwenye sufuria la uji.
Tabia hazina uhusiano na race
We ni kenge kweli. Rudi kwenu Nadonjuki ukachunge punda.Yani Scandinavia huku tuna enjoy. Mazingira ya kazi ni pepo. Yani hadi unapochamba mkunduya vikongwe hujali harufu unajiona unachamba keki na kunusa manukato.
Chaliifrancisco PSL god hydroxo ras jeff kapita Magonjwa Mtambuka Mr Q Mufti kuku The Infinity reyzzap
Nyau de adriz
Hahaha umbwaaaWe ni kenge kweli. Rudi kwenu Nadonjuki ukachunge punda.
Mbusiii wewe.
Mwarabu ni takataka wale mbwa kokoMbona waafrika walimuacha Gadaf anauwa pekee wamesaidia nini.
Tabia njema au nzuri haina race
Adriz maaarasHahaha umbwaaa
Bi mkubwa naomba ukizeeka kufikia umri wa mke wa nyerere nikuoneMsaidieni,
Nimelia asubuhi asubuhi