DOKEZO Video: Mdada wa Kinondoni aliyeenda kufanya kazi za ndani Iraq afichiwa passport na mwajiriwa wake. Anyimwa chakula na kupitia mateso

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ataleta uongo wake na uzushi uzushi tu kisa wengine hatukuwa tumezaliwa sio ajabu hiyo dada kuonewa hapo mzee Said atasema ni kosa la Nyerere
Hahaha,
Nilitaka huyo mzee Mohamed Said atueleze tu ni kwanini ndugu zake katika imaaan wanapenda kufanya mambo ya ajabu sana.

Kuna wengine hapo UAE wanathubutu kujisaidia haja kubwa ndani ya midomo ya mabinti wa Kiafrika
 
Hahaha,
Nilitaka huyo mzee Mohamed Said atueleze tu ni kwanini ndugu zake katika imaaan wanapenda kufanya mambo ya ajabu sana.

Kuna wengine hapo UAE wanathubutu kujisaidia haja kubwa ndani ya midomo ya mabinti wa Kiafrika
Hayo majitu ni mashenzj sana
Yametutesea sana ndugu zetu na bado yanawatesa lakini wao hawakomi wanaenda tu!

Yaani unatoka bongo kwenda huko kwa waarabu ukawe beki tatu?
 
Hivi kweli unaenda kufanya kazi Iraque? Unfamiliar wewe
 
Ukiwa Kweli Na Uchungu Wa Kulia Kwa Jambo Lolote Linalokusibu Na Kukusikitisha Unapata Wapi Nguvu Ya Kujirekodi??Na %Kubwa Huwaga Jinsia Ke Wanayaweza Sana Haya Maigizo Ya Kidigitali,,,Teknolojia Ni Ya Kuwa Nayo Makini Mnoo Mengi Ni Fake.
Mwenyewe nimejiuliza hivyo hivyo, atanisamehe dada wa watu kama ni kweli. Lakini wingi wa likes kwenye post #3 inanipa mashaka sana........ni dhahiri ni harakati za waliojivisha uadui na waarabu za kuwachafua. Jamii flani inafahamila haiwapendi waarabu.......hao wataokoteza Kila kitu Ili mradi muarabu achafukee..
 
Halafu hizo kazi zinatangazwa kila ijumaa kumbe lengo ni kwenda kuwauza mabinti wa kslam huko uarabuni kama watumwa
 
Ila Tanzania ina matahira daah nimecheka sana etii 😂😂😂😂 bobiii...
mkuu,tahira huyo dada Ako aliyeenda Iraq(hatakama Iraq!!)

Na nchi hizo dadazetu hupitia mengi magumu ,hasa kupigwa mikasi na hao mnaowaita geruman Jews dog..... msaidieni dada yenu arudi ...watoto wa kinondoni nyie mmelaaniwa mnamtaftia dada yenu kazi Iraq!! au mlipigisha cocaine akajikuta Iraq ...
 
But penye wabaya wema nao wapo.
Na hao wa dada waliobadilisha maisha ya familia zao bongo mwaka wa kumi sasa wapo wanapiga kazi huko je hawa wameteswa na nani.
Pana mpaka waliolewa huko
 
Ila hawa watu nao jamani khaaa,. Tangu niko mdogo nasikiaga tu wakilalamika hivihivi sijui kwanini hawajifunzi kwa wenzao.. Kwani kazi sehemu nyingine zenye usalama hakuna ??
Ni ndugu katika Imaaan
 
Sababu hana uhusiano wowote na Waafrika. Na yeye angekuacha ufe vilevile, hell, gadaf angekuua kwa mikono yake mwenyewe personally. Narudia, wewe ni wa kukamatwa na kuhojiwa. Otherwise ni mwarabu.
All people are good and bad
 
Kila siku mnaambiwa waarabu sio watu hamuelewi...akome
Wazungu

"Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke, na tumekufanyeni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule mchamungu zaidi kati yenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi, Mwenye habari."
— Qur'an 49:13
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…