DOKEZO Video: Mdada wa Kinondoni aliyeenda kufanya kazi za ndani Iraq afichiwa passport na mwajiriwa wake. Anyimwa chakula na kupitia mateso

DOKEZO Video: Mdada wa Kinondoni aliyeenda kufanya kazi za ndani Iraq afichiwa passport na mwajiriwa wake. Anyimwa chakula na kupitia mateso

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Waarabu hata wa kwetu Tanzania ni wabaguzi sn... kwanza ni vigumu sana kumkuta binti wa kiarabu ameolewa na ngozi nyeusi ila ni rahisi mno mwafrika kumuoa Mzungu... Popote walipo Waarabu sio watu Wazuri...
Wazungu wana roho za utu sana
 
Na bahati mbaya nasikia hatuna ubalozi wetu huko,sijui msaada atapata wapi?
Hatuna ubalozi Iraq, lakini anaweza kupata msaada toka ubalozi wa Uingereza. Maadam yeye ni Mwananchi wa Tanzania ambayo ni Nchi mwanachama wa Commonwealth na UK ndiye Kiranja wake, ni rahisi kupata msaada. Ushahidi upo watu wamesaidiwa kurudi Tanzania kupitia UK Embassy.
 
sema wabongo nao wanazingua sana, unakuta muarabu kashalipa hela kibao kwa agent, alafu wewe unafika wiki mbili tatu unachagiza unataka kurudi PUMBAV.
 
Ila hawa watu nao jamani khaaa,. Tangu niko mdogo nasikiaga tu wakilalamika hivihivi sijui kwanini hawajifunzi kwa wenzao.. Kwani kazi sehemu nyingine zenye usalama hakuna ??
Hata na mie haya mambo ya watu kufichiwa passport na waajiri wao nimeyasikia kitambo lakini mpaka leo bado watu wanaenda.

Tena kama ni tangia 2022 mpaka leo ana moyo wake kwenye upande wa uvumilivu aisee.
 
Hata na mie haya mambo ya watu kufichiwa passport na waajiri wao nimeyasikia kitambo lakini mpaka leo bado watu wanaenda.

Tena kama ni tangia 2022 mpaka leo ana moyo wake kwenye upande wa uvumilivu aisee.
Yaani sijui huwa wanadanganywa na nini au ndio ugumu wa maisha hata nashindwa kuelewa,. Maana matukio ya watu kunyanyaswa ni mengi mnoo na tumeanza kuyaona toka zamani 2016 huko nnakuendelea lakini watu bado wanaenda,. Tena huyo kaenda 2022 si juzi tu hapo means hakuwa hata na wakumshauri jamani???,

Inatia hasira sometimes
 
Kuna kiongozi wa CCM Mkoa wa Dar miaka fulani hii ndio ilikua biashara yake ya kuwasafirisha binadamu, alikua akiifanya yeye na Mke wake. Nimemsahau jina ila thread iko humu ndani
 
Ni upumbavu tu, alafu kuna bi dada ameona hii video na yeye yupo mbioni kwenda huko huko iraq 🇮🇶
 
Back
Top Bottom