KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinilaumu Mimi kwa kukosa MBS. Umasikini na ufukara nchini Tanzania ni zao la CCM kuendelea kubaki madarakani.Toa maelezo mkuu wengine hatuna mbs za kuifungua hiyo video.
Hehehe!!!Usinilaumu Mimi kwa kukosa MBS. Umasikini na ufukara nchini Tanzania ni zao la CCM kuendelea kubaki madarakani.
Hakikisha unakuwa sehemu ya mabadiliko.
Dai katiba mpya na tume huru ya haki ya uchaguzi ambayo kiongozi wake hajachaguliwa na mgombea yeyote wa kiti cha urais
Video haipo
Ila sheria ichukue MKONDO wake ikithibika basi kisado apotelee gerezani
Aiseee unaweza kupoteza KAZI na muda wako mrefu ukiwa hauko huruHapo msala kwa mwalimu aliemruhusu uyo mwamba afanye huo ujinga.
Kwa hiyo kasahau dawa ya kuwarudisha katika hali ya kawaida au na yeye kawa zezeta
Kaaazii kweli kweli
Labda aliiba hiyo dawa bila kujua matumizi yake.Kwa hiyo kasahau dawa ya kuwarudisha katika hali ya kawaida au na yeye kawa zezeta
Kapotea kwenye mazingira ya kutatanishaKwa hiyo kasahau dawa ya kuwarudisha katika hali ya kawaida au na yeye kawa zezeta
Ndo kashayatimba sasaLabda aliiba hiyo dawa bila kujua matumizi yake.
Hakika. Aliona imeandikwa don't try this at home, akaamua akajaribishie shuleniLabda aliiba hiyo dawa bila kujua matumizi yake.
Kumba maswala ya mazingaumbwe bado yapo mashukeni, duh.Ndo kashayatimba sasa