Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Jomba ni muongo na nusu 😂😂😂😂 we mzee dhambi ya uongo pekee ndio itakupeleka motoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jomba ni muongo na nusu 😂😂😂😂 we mzee dhambi ya uongo pekee ndio itakupeleka motoni.
Sasa huyu hata uchawi hauweziWawapeleke hospitali, ashawavutisha bangi watoto.
Wenzie wanatumiaga trick ndogondogo tu wanawawin watu vizuri bila kujionesha kama wanafabya uchawi, sasa kibongobongo mazingaombwe ni uchawi uliochangamka.
Mpigamiti haiko Tabora, iko kusiniKijiji chenyewe mpiga miti, una tegemea. nini?
Sheria haitambui uchawiNaunga mkono hoja.
Huyu mwamba mzinguzi sana aiseee😂😂😂 we mzee dhambi ya uongo pekee ndio itakupeleka motoni.
Bangibtena? Si ndio watavua na nguo kabisa?Wawapeleke hospitali, ashawavutisha bangi watoto.
Wenzie wanatumiaga trick ndogondogo tu wanawawin watu vizuri bila kujionesha kama wanafabya uchawi, sasa kibongobongo mazingaombwe ni uchawi uliochangamka.
Hakika, hii mambo ya mazingaombwe imepitwa na wakati na ipigwe marufuku mashuleni. Karne hii tunafundisha watoto sayansi, teknolojia na digitali na bado tunaendekeza mazingaombwe! Tusiwachanganye watoto. Itapendeza Waziri wa Elimu atoe waraka wa kupiga marufuku maujinga kama hayo kupelekwa mashuleni.Serikali ya Samia imekuwa ya hovyo sana kuruhusu wachawi kufundisha uchawi wao mashuleni na kuwadhuru wanafunzi
Mimi ndio huyo Mzee alibadilika kuwa paka, sasa wewe unabisha, je siku hiyo ulikuwepo?😂😂😂 we mzee dhambi ya uongo pekee ndio itakupeleka motoni.
Mipango ya CCM kufubaza watoto wapende miujiza zaidi kuliko kupenda tafiti za kisayansiHakika, hii mambo ya mazingaombwe imepitwa na wakati na ipigwe marufuku mashuleni. Karne hii tunafundisha watoto sayansi, teknolojia na digitali na bado tunaendekeza mazingaombwe! Tusiwachanganye watoto. Itapendeza Waziri wa Elimu atoe waraka wa kupiga marufuku maujinga kama hayo kupelekwa mashuleni.
Duh.Mimi ndio huyo Mzee alibadilika kuwa paka, sasa wewe unabisha, je siku hiyo ulikuwepo?
Waziri wa hiki chama ambacho ndio BABA WA MAZINGAOMBWE?Itapendeza Waziri wa Elimu atoe waraka wa kupiga marufuku maujinga kama hayo kupelekwa mashuleni.
Hakika, hii mambo ya mazingaombwe imepitwa na wakati na ipigwe marufuku mashuleni. Karne hii tunafundisha watoto sayansi, teknolojia na digitali na bado tunaendekeza mazingaombwe! Tusiwachanganye watoto. Itapendeza Waziri wa Elimu atoe waraka wa kupiga marufuku maujinga kama hayo kupelekwa mashuleni.
🤣🤣🤣Ila Bujibuji Simba Nyamaume unazingua🥴🥴Sisi kijijini kwetu huko Ikungulyabhashashi alikuja mganga mazingaombwe kaongozana na mbeba madawa wake. Basi akaanza mazingaombwe kwa mbwembwe, akasema anaweza kumgeuza MTU kuwa panya, kisha akamrudisha kuwa binadamu.
Basi akauliza Nani yuko tayari kugeuzwa kuwa panya? Akatokea Dada mmoja mzuri sana, lakini hamfikii hata robo, msichana mrembo kushinda Malaika, mzuri kuliko hela, miss To yeye.
Akasema Niko tayari kubadilishwa kuwa panya. Basi mtaalam pamoja na Yule msaidizi wake wakampaka madawa Yule mrembo huku wakiongea maneno ya kichawi.
Mara Yule mrembo akageuka panya, akaanza kukimbia unaogopa watu. Dingi mmoja akageuka paka ghafla bin vuuuh... Akamfukuza Yule panya, akamkama na kummeza.
Kisha akarudi kwenye hali ya ubinadamu, kimbembe kikaanzia hapo, tunatakaaaaaa MTU wetu, tunatakaaaa MTU wetu..
..
Upako wa uzinguzi ukawe juu Yako Leo, sema Amina kubwa🤣🤣🤣Ila Bujibuji Simba Nyamaume unazingua🥴🥴
Kafanya asiyoyajua mwisho watoto washakua mazezeta, ana bahati kina mama ndio walioenda kuwaina watoto, wao ni maneno mengi.Sasa huyu hata uchawi hauwezi
Nyie watu
Ni kweli?Tatizo wanamboka wanaendekeza sana ushirikina...☹️