VIDEO:- Mfanya mazingaombwe aitwaye Kisado, awageuza watoto wa shule ya msingi huko Tabora kuwa kama mazezeta

VIDEO:- Mfanya mazingaombwe aitwaye Kisado, awageuza watoto wa shule ya msingi huko Tabora kuwa kama mazezeta

Wawapeleke hospitali, ashawavutisha bangi watoto.

Wenzie wanatumiaga trick ndogondogo tu wanawawin watu vizuri bila kujionesha kama wanafabya uchawi, sasa kibongobongo mazingaombwe ni uchawi uliochangamka.
Sasa huyu hata uchawi hauwezi
 
Wawapeleke hospitali, ashawavutisha bangi watoto.

Wenzie wanatumiaga trick ndogondogo tu wanawawin watu vizuri bila kujionesha kama wanafabya uchawi, sasa kibongobongo mazingaombwe ni uchawi uliochangamka.
Bangibtena? Si ndio watavua na nguo kabisa?
 
Serikali ya Samia imekuwa ya hovyo sana kuruhusu wachawi kufundisha uchawi wao mashuleni na kuwadhuru wanafunzi
Hakika, hii mambo ya mazingaombwe imepitwa na wakati na ipigwe marufuku mashuleni. Karne hii tunafundisha watoto sayansi, teknolojia na digitali na bado tunaendekeza mazingaombwe! Tusiwachanganye watoto. Itapendeza Waziri wa Elimu atoe waraka wa kupiga marufuku maujinga kama hayo kupelekwa mashuleni.
 
Hakika, hii mambo ya mazingaombwe imepitwa na wakati na ipigwe marufuku mashuleni. Karne hii tunafundisha watoto sayansi, teknolojia na digitali na bado tunaendekeza mazingaombwe! Tusiwachanganye watoto. Itapendeza Waziri wa Elimu atoe waraka wa kupiga marufuku maujinga kama hayo kupelekwa mashuleni.
Mipango ya CCM kufubaza watoto wapende miujiza zaidi kuliko kupenda tafiti za kisayansi
 
Itapendeza Waziri wa Elimu atoe waraka wa kupiga marufuku maujinga kama hayo kupelekwa mashuleni.
Waziri wa hiki chama ambacho ndio BABA WA MAZINGAOMBWE?
Kwenye mikutano yao wanajaza wafanya mazingaombwe ili wapate umati MKUBWA wa watu.

 
Hakika, hii mambo ya mazingaombwe imepitwa na wakati na ipigwe marufuku mashuleni. Karne hii tunafundisha watoto sayansi, teknolojia na digitali na bado tunaendekeza mazingaombwe! Tusiwachanganye watoto. Itapendeza Waziri wa Elimu atoe waraka wa kupiga marufuku maujinga kama hayo kupelekwa mashuleni.
27.jpg
 
Sisi kijijini kwetu huko Ikungulyabhashashi alikuja mganga mazingaombwe kaongozana na mbeba madawa wake. Basi akaanza mazingaombwe kwa mbwembwe, akasema anaweza kumgeuza MTU kuwa panya, kisha akamrudisha kuwa binadamu.

Basi akauliza Nani yuko tayari kugeuzwa kuwa panya? Akatokea Dada mmoja mzuri sana, lakini hamfikii hata robo, msichana mrembo kushinda Malaika, mzuri kuliko hela, miss To yeye.

Akasema Niko tayari kubadilishwa kuwa panya. Basi mtaalam pamoja na Yule msaidizi wake wakampaka madawa Yule mrembo huku wakiongea maneno ya kichawi.

Mara Yule mrembo akageuka panya, akaanza kukimbia unaogopa watu. Dingi mmoja akageuka paka ghafla bin vuuuh... Akamfukuza Yule panya, akamkama na kummeza.

Kisha akarudi kwenye hali ya ubinadamu, kimbembe kikaanzia hapo, tunatakaaaaaa MTU wetu, tunatakaaaa MTU wetu..
..
🤣🤣🤣Ila Bujibuji Simba Nyamaume unazingua🥴🥴
 
Back
Top Bottom