VIDEO:- Mfanya mazingaombwe aitwaye Kisado, awageuza watoto wa shule ya msingi huko Tabora kuwa kama mazezeta

VIDEO:- Mfanya mazingaombwe aitwaye Kisado, awageuza watoto wa shule ya msingi huko Tabora kuwa kama mazezeta

Ndiyo mkome nyie walimu wa shuleni

Ova
 

Wanaosema video haionekani, Tafadhali angalia post namba sita.
Kisado daaah
 
Sisi kijijini kwetu huko Ikungulyabhashashi alikuja mganga mazingaombwe kaongozana na mbeba madawa wake. Basi akaanza mazingaombwe kwa mbwembwe, akasema anaweza kumgeuza MTU kuwa panya, kisha akamrudisha kuwa binadamu.

Basi akauliza Nani yuko tayari kugeuzwa kuwa panya? Akatokea Dada mmoja mzuri sana, lakini hamfikii hata robo, msichana mrembo kushinda Malaika, mzuri kuliko hela, miss To yeye.

Akasema Niko tayari kubadilishwa kuwa panya. Basi mtaalam pamoja na Yule msaidizi wake wakampaka madawa Yule mrembo huku wakiongea maneno ya kichawi.

Mara Yule mrembo akageuka panya, akaanza kukimbia unaogopa watu. Dingi mmoja akageuka paka ghafla bin vuuuh... Akamfukuza Yule panya, akamkama na kummeza.

Kisha akarudi kwenye hali ya ubinadamu, kimbembe kikaanzia hapo, tunatakaaaaaa MTU wetu, tunatakaaaa MTU wetu..
..
Sheikh wangu hili rungu nimelikwepa.
 
Someni dini muujue uislamu vizuri, mkijua haya hamtathubutu kuwapeleka watoto wenu mashule yasiyo na misingi ya dini yetu/UISLAMU
 
Wawapeleke hospitali, ashawavutisha bangi watoto.

Wenzie wanatumiaga trick ndogondogo tu wanawawin watu vizuri bila kujionesha kama wanafabya uchawi, sasa kibongobongo mazingaombwe ni uchawi uliochangamka.
Kweli Mkuu, Majuzi kati nilipita soko fulani kuna wadau wanachezesha kamari, wana card tatu moja inakuwa na picha zingine mbili zinakuwa empty

Kuna dogo alijichanganya kucheza huo mchezo alipigwa hela yote ya biashara.
 
Kweli Mkuu, Majuzi kati nilipita soko fulani kuna wadau wanachezesha kamari, wana card tatu moja inakuwa na picha zingine mbili zinakuwa empty

Kuna dogo alijichanganya kucheza huo mchezo alipigwa hela yote ya biashara.
Hana akili
 
Hakuna namna,
tuendelee kumshukuru Mwenyekiti wa chama na serikali.
 
Back
Top Bottom