Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Serikali haiamini uchawiVideo haipo
Ila sheria ichukue MKONDO wake ikithibika basi kisado apotelee gerezani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali haiamini uchawiVideo haipo
Ila sheria ichukue MKONDO wake ikithibika basi kisado apotelee gerezani
Kisado daaah
Wanaosema video haionekani, Tafadhali angalia post namba sita.
VIDEO:- Mfanya mazingaombwe aitwaye Kisado, awabemenda watoto wa shuke ya msingi huko Tabora na kuwafanya kuwa kama mazezeta.
Wanaosema video haionekani, Tafadhali angalia post namba sita. https://www.jamiiforums.com/threads/video-mfanya-mazingaombwe-aitwaye-kisado-awabemenda-watoto-wa-shuke-ya-msingi-huko-tabora-na-kuwafanya-kuwa-kama-mazezeta.2308635/post-52887553www.jamiiforums.com
Kisado daaah
"...watoto wote waliokanyaga yale maji wamekutwa na hayo yaliyotokea"
Labda ameingia mtaani kabla hajapewa chetiKwa hiyo kasahau dawa ya kuwarudisha katika hali ya kawaida au na yeye kawa zezeta
Sheikh wangu hili rungu nimelikwepa.Sisi kijijini kwetu huko Ikungulyabhashashi alikuja mganga mazingaombwe kaongozana na mbeba madawa wake. Basi akaanza mazingaombwe kwa mbwembwe, akasema anaweza kumgeuza MTU kuwa panya, kisha akamrudisha kuwa binadamu.
Basi akauliza Nani yuko tayari kugeuzwa kuwa panya? Akatokea Dada mmoja mzuri sana, lakini hamfikii hata robo, msichana mrembo kushinda Malaika, mzuri kuliko hela, miss To yeye.
Akasema Niko tayari kubadilishwa kuwa panya. Basi mtaalam pamoja na Yule msaidizi wake wakampaka madawa Yule mrembo huku wakiongea maneno ya kichawi.
Mara Yule mrembo akageuka panya, akaanza kukimbia unaogopa watu. Dingi mmoja akageuka paka ghafla bin vuuuh... Akamfukuza Yule panya, akamkama na kummeza.
Kisha akarudi kwenye hali ya ubinadamu, kimbembe kikaanzia hapo, tunatakaaaaaa MTU wetu, tunatakaaaa MTU wetu..
..
HeheheLabda ameingia mtaani kabla hajapewa cheti
Umeona ehh"...watoto wote waliokanyaga yale maji wamekutwa na hayo yaliyotokea"
Uhuni ni huu huu wanaotumia wanaojiita manabii na mitume
Uislam na mazingzong kuna uswahiba mkubwaSomeni dini muujue uislamu vizuri, mkijua haya hamtathubutu kuwapeleka watoto wenu mashule yasiyo na misingi ya dini yetu/UISLAMU
Umeiona video mkuu ?Sheria haitambui uchawi
Andika vizuri weweKumba maswala ya mazingaumbwe bado yapo mashukeni, duh.
Nilikuwa nakutega tu kumbe unajua sarufi vizuri.Andika vizuri wewe
Ni shule gani nataka kuunganisha kitu.iNshu kama hii iliwah kutokea shulen kwetu,kidogo mwanamazigaombwe akimbie,alizimisha mtu kwa madawa yake na baadae akashindwa kumtoa kwenye hiyo hali
Kweli Mkuu, Majuzi kati nilipita soko fulani kuna wadau wanachezesha kamari, wana card tatu moja inakuwa na picha zingine mbili zinakuwa emptyWawapeleke hospitali, ashawavutisha bangi watoto.
Wenzie wanatumiaga trick ndogondogo tu wanawawin watu vizuri bila kujionesha kama wanafabya uchawi, sasa kibongobongo mazingaombwe ni uchawi uliochangamka.
Hana akiliKweli Mkuu, Majuzi kati nilipita soko fulani kuna wadau wanachezesha kamari, wana card tatu moja inakuwa na picha zingine mbili zinakuwa empty
Kuna dogo alijichanganya kucheza huo mchezo alipigwa hela yote ya biashara.
Kuna mtu hapo alipiga vice versa.iNshu kama hii iliwah kutokea shulen kwetu,kidogo mwanamazigaombwe akimbie,alizimisha mtu kwa madawa yake na baadae akashindwa kumtoa kwenye hiyo hali