dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,991
Hii Bukoba ina nini ? Magufuli alitimuliwa , huyu naye katimuliwa !Mambo ni moto. Hii ni leo kwa Rweikiza Bukoba vijijini
View attachment 1578739
Mambo ni moto. Hii ni leo kwa Rweikiza Bukoba vijijini
View attachment 1578739
Sawa ni ipi?Hii sio sawa
Aiseeetuliposhikilia hatuachii...tunapiga kwenye mshono tu...
Hii sio sawa
Maafisa vificho watatumwa huko kuchoma nyumba zao. Jamaa kwa visasi na chuki hajambo.
Pale unapomwagia chumvi kwenye kidondo kibichituliposhikilia hatuachii...tunapiga kwenye mshono tu...