Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mgombea ukiwafuata watu wana haki ya kukuzomea ila wakikufuata kwenye mkutano wako ni ujinga kuzomea.
Huo ujinga wa kuzomea watu haukubaliki kwa chama chochote kama mtu haumtaki wewe ondoka kimya kimya umuache aongee na wanaompenda.