Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
masuala ya ndoa si ya kuingilia na kumhukumu mmoja pasipo kumsikiliza mwingine. Ukimsikiliza mwenzake si ajabu ukakuta mlalamishi ndiye tatizo kubwa. Mwanaume hawezi akafikia kufanya hivyo pasipo sababu, hasa kutendwa.Wanawake wanasingiziwa mengi jamani. yaani mtu anatakiwa avumilie tuuuu maovu ya mume
Mwanamke mwenye akili hawezi anika madhaifu ya mumewe the same to Mwanaume, ni sawa mke wako acheat alafu utangaze badala ya ku deal nayeRafiki, kwa hiyo wewe umeuona upumbavu wa mwanamke tu ila upumbavu wa mwanaume hujauona??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani tusihukumu yeyote, hatujui huyo mwanamke kapitia mangapi mpaka kufikia hapo.Mwanamke mwenye akili hawezi anika madhaifu ya mumewe the same to Mwanaume, ni sawa mke wako acheat alafu utangaze badala ya ku deal naye
Sasa yeye si ndie kaanzisha. Siku zote anaemaliza ugomvi ndio anaonekana mkorofi. Yaani mwanaume aanze tu kuwehuka bila sababu.Wanawake wanasingiziwa mengi jamani. yaani mtu anatakiwa avumilie tuuuu maovu ya mume
TAA NDOAA... sasa mwanamke kama huyuu mdomoo mrefu hivii maneno kibao ukisema umuoee si kutaka kufa kabla ya siku zako
kaka ni mizagamuoo na kulea watoto bhasi..Naona umepata sababu za kuhalalisha kula kimasikhara 😁😁
By the way kama ndoa unaitaka, tafuta mwenye madhaifu unayoweza kuyavumilia ila kutumaini mtu atabadilika ni sawa na kuziba jua kwa ungo
Mwanaume huenda ni mpumbavu ila swala la mwanamke kuyatoa ya ndani kuyaanika mitandani ni Upumbavu wa juu sanaRafiki, kwa hiyo wewe umeuona upumbavu wa mwanamke tu ila upumbavu wa mwanaume hujauona??
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo taratibu za watu waliostaarabika kutatua migogoro yao japo ni kweli hatujui full story ila swala la kuanikq mambo ya ndani ni swala la kipumbavu sanaWanawake wanasingiziwa mengi jamani. yaani mtu anatakiwa avumilie tuuuu maovu ya mume
Unaonaje swala la kuanikq video ya namna hii?masuala ya ndoa si ya kuingilia na kumhukumu mmoja pasipo kumsikiliza mwingine. Ukimsikiliza mwenzake si ajabu ukakuta mlalamishi ndiye tatizo kubwa. Mwanaume hawezi akafikia kufanya hivyo pasipo sababu, hasa kutendwa.
Mkuu swala langu ni mwanamke kuanika mitandaoni mambo y ndoa yakeUbaya wa wanandoa.. Utatoka povu na kuchukua upande wa mtu ila kesho wanarudiana alafu wewe ndio unageuka bad guy kwenye story..
Cha kufanya ni kusubiri wote waongee, pima uzito, washauri unaloona linafaa af pita kushoto kama hakijatokea kitu
Hata kamaNadhani tusihukumu yeyote, hatujui huyo mwanamke kapitia mangapi mpaka kufikia hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app