Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
ni makosa makubwa, imagine mumewe naye aanike upuuzi wa huyu mwanamke?Unaonaje swala la kuanikq video ya namna hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni makosa makubwa, imagine mumewe naye aanike upuuzi wa huyu mwanamke?Unaonaje swala la kuanikq video ya namna hii?
Kqbisani makosa makubwa, imagine mumewe naye aanike upuuzi wa huyu mwanamke?
Hao pia wana ladha yao…KATAA NDOAA... sasa mwanamke kama huyuu mdomoo mrefu hivii maneno kibao ukisema umuoee si kutaka kufa kabla ya siku zako
Uzuri sasa hivi wamejitambua raha tuWanawake wanasingiziwa mengi jamani. yaani mtu anatakiwa avumilie tuuuu maovu ya mume
Matured!Balozi kutuhumiwa wizi hata kama ni uongo inaonesha balozi ana matatizo mengi zaidi
Hiyo nilikataa mieWanawake wanasingiziwa mengi jamani. yaani mtu anatakiwa avumilie tuuuu maovu ya mume
Mkuu bado nashangaa. Kwa nini mambo kama haya watu wanaamua kurekodi na kuachia public?Rafiki, kwa hiyo wewe umeuona upumbavu wa mwanamke tu ila upumbavu wa mwanaume hujauona??
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wana info za background. Hii siyo acting.Wewe umejuaji kuwa huyo anayetuhumia kufanya hayo ni balozi kweli na kama huyo ni mke wake kama anavyodai?
Mkuu you are right. Kwa sisi wenye uzoefu na haya mambo huwa tunakaa kimya kwani tumeshaona mengi. Mimi kitendo cha huyu mama kurekodi na kurusha kwenye soacial media tayari kimeshaamsha red flag kwenye ubongo wangu. Kuna tatizo mahali.masuala ya ndoa si ya kuingilia na kumhukumu mmoja pasipo kumsikiliza mwingine. Ukimsikiliza mwenzake si ajabu ukakuta mlalamishi ndiye tatizo kubwa. Mwanaume hawezi akafikia kufanya hivyo pasipo sababu, hasa kutendwa.
Balozi alikosaje Kujenga pamoja na mpaoshobyote hayo? Single mother ni tatizo kubwa kwenye mahusiano/ndoaUnaonaje swala la kuanikq video ya namna hii?
Balozi alihamia kwenye nyumba ya kimada? Alipofulia akakumbuka kuuza furniture.Mkuu you are right. Kwa sisi wenye uzoefu na haya mambo huwa tunakaa kimya kwani tumeshaona mengi. Mimi kitendo cha huyu mama kurekodi na kurusha kwenye soacial media tayari kimeshaamsha red flag kwenye ubongo wangu. Kuna tatizo mahali.
Huyu mwanamke sauti yake na maelezo yake ynaonyesha ni wale wanawake wakorofi.Balozi alihamia kwenye nyumba ya kimada? Alipofulia akakumbuka kuuza furniture.
Daah, huyu bila Shaka alikua single motherHuyu mwanamke sauti yake na maelezo yake ynaonyesha ni wale wanawake wakorofi.
Umetazama hiyo Video?Wewe umejuaji kuwa huyo anayetuhumia kufanya hayo ni balozi kweli na kama huyo ni mke wake kama anavyodai?
Yote yanawezekanaBalozi kutuhumiwa wizi hata kama ni uongo inaonesha balozi ana matatizo mengi zaidi
Huyu inaonekana alivamia ndoa ya watu akaja na wanae kula hela ya BaloziUmetazama hiyo Video?
Hatujui kama kajenga au laBalozi alikosaje Kujenga pamoja na mpaoshobyote hayo? Single mother ni tatizo kubwa kwenye mahusiano/ndoa