mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Hii ni video ya Rich Mavoko mpya ya wimbo Pacha wangu. Ni video nzuri sana imefanywa na Adam Juma nimeipenda quality yake na chui aliyetumika umo.
Kilichonishangaza ni Mavoko kuvaa Tshet moja ya kijivu karibu video yote, sijaelewa tatizo ni nini aliiaminia sana iyo tisheti au ndio ilimpendeza sna au AJ alijisahau??
icheki hapa
https://www.youtube.com/watch?v=nw59lY5hpF4
Ni nzuri kiukweli...hivi yule chui ni kweli au???
Hii ni video ya Rich Mavoko mpya ya wimbo Pacha wangu. Ni video nzuri sana imefanywa na Adam Juma nimeipenda quality yake na chui aliyetumika umo.
Kilichonishangaza ni Mavoko kuvaa Tshet moja ya kijivu karibu video yote, sijaelewa tatizo ni nini aliiaminia sana iyo tisheti au ndio ilimpendeza sna au AJ alijisahau??
swaga tu hizo ,ay b mambo ya fashion umeyajulia ukubwani
icheki hapa
https://www.youtube.com/watch?v=nw59lY5hpF4
chui kweli angejiamini vile wakati hajawai kukuonana nae in his his life
Naona Adam Juma kawaamulia wasouth na wanaija.Hongera AJ
Umepanic, mbona video ya Bruno mars-lazy kafanya na sokwe-cartoon mwnzo-mwisho hajabadili pamba bt stl imekick?Hii ni video ya Rich Mavoko mpya ya wimbo Pacha wangu. Ni video nzuri sana imefanywa na Adam Juma nimeipenda quality yake na chui aliyetumika umo.
Kilichonishangaza ni Mavoko kuvaa Tshet moja ya kijivu karibu video yote, sijaelewa tatizo ni nini aliiaminia sana iyo tisheti au ndio ilimpendeza sna au AJ alijisahau??
icheki hapa
https://www.youtube.com/watch?v=nw59lY5hpF4
hahahahaaaaa...Kuna video watu hawavai nguo kabisa na mnaziangalia mara mbilimbili!..yeye kavaa tshirt mnatanua midomo..mna matatizo gani nyinyi? Kama vp si mwende kwenye maonyesho ya mavazi muone watu wanavyobadili badili nguo?
Naona Adam Juma kawaamulia wasouth na wanaija.Hongera AJ
AJ si niliwah kumsikia kuwa kaachana na mambo ya ku shoot video??