Video moya ya Rich Mavoko na Tshirt ya 'kauka nikuvae'

So dhima ya wimbo huo hapo ni "uana mitindo" au? Take it simple bwana kama nguo kabadilisha, msilazimishe abadili hadi pair 10..
hujanielewa dhima ya wimbo hutokana na kile alichokilenga au kinachotakiwa kulengwa kwa mfano Nyimbo ya thriller michael jackson amevaa nguo moja tu hilo ni sawa kutokana na nyimbo yenyewe , pia nyimbo kibao za usher unaona anapiga nguo moja na yenyewe ni kutokana na nyimbo. kama nguo moja ya mavoko inaendana na nyimbo hilo halina shida
 
chui kweli angejiamini vile wakati hajawai kukuonana nae in his his life

Huyo ni chitah, hawa ni rahisi sana kuishi na binadamu kuliko wale chui wengine. Wakichuliwa tangu wadogo na kuwekwa nyumbini wanakuwa sawa na mbwa tu.
 
Huyo ni chitah, hawa ni rahisi sana kuishi na binadamu kuliko wale chui wengine. Wakichuliwa tangu wadogo na kuwekwa nyumbini wanakuwa sawa na mbwa tu.

Ni waremboo aiseee hao chita ,tatizo hawaaminikii we au wanachomwa sindano ya kua wapolee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…