Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nje ya mada mkuu. Hivi kupigwa pini na mtusi inawezatudhuru kiasi gani hapa kwetu? Naje akipitishia mombasa huko hatochangamana na wenyeji wa huko. Je kila nchi ikifunga mipaka kama yeye je mizigo atapitishia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya madereva hupimwa kwanza kabla ya kupakia mzigo,na wakati wa kurudi,,Kuna dreva mmoja kwenye tv alilalamika Hadi shingo linauma kwa kuingiziwa kijiti Kila Mara.Nje ya mada mkuu. Hivi kupigwa pini na mtusi inawezatudhuru kiasi gani hapa kwetu? Naje akipitishia mombasa huko hatochangamana na wenyeji wa huko. Je kila nchi ikifunga mipaka kama yeye je mizigo atapitishia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
We Jamaa kila siku unaonyesha ni jinsi gani ulivyompumbavu kabisa, kila kitu unadhani siasa tu,Huu uongo wa Chadema
Ona jinsi ulivyo na bashasha na vifijo fijo, aiseeHio post yangu ina shamra shamra gani? MATAGA umepagawa nini?
Watu wanajaribu kusaidiana mataga mnasema tunasherehekea?
Covid i apiga kote kote.
Mkuu wa usalama ndugu yake kafa.
Nasikia simbachewene kapoteza ndugu karibia wanne.
Sasa hapo kuna mtu atashangilia?
This thing is real fella
Stop nonsense
😄😄😄Video siioni isijekuwa ni babe wangu jamani
Mbona watu wanampambania na hawana shamra shamra yoyote.
We jamaa mbona kama una ka ujinga flani hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeshawajulisha kampuni husika mkuu. Wanaelekea hapo Mafinga kutoa msaada hope watamkuta bado mzima ingawa haijulikani kama hapo alipo ni mzima au lah!
Kiongozi.Hivi wale dada utamu wa Chalinze, Mdaula, Morogoro, Mikumi, Mafinga, Dodoma, Itigi, Singida, Nzega, Kakongwa
na makao makuu ya umalaya RUNZEWE bado wanatoa uroda kwa madereva? Maana kupumuliana imo sana