Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
maigizo juu ya maigizo ni hivi Chadema is gone haiwezi kurudi tenaHutaki unaacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maigizo juu ya maigizo ni hivi Chadema is gone haiwezi kurudi tenaHutaki unaacha
Hahaa, device inachapia? Ipige chini mkuu 🤔😄😄hii Chadema Digital imenitoa ushamba , device mpya sana .
Asante sana JPM kwa kutujengea barabara nzuri sasa hata chadema waliokuwa wanapinga kila kitu wanapiga masafa marefu kwa muda mfupi na bila uharibifu kwa magari yao. Kwa nje wanakudiss lakini myoyoni wanashukuru barabara ni mikeka ya kukata na mundu!Vikao vya ndani vinaendelea kurindimishwa na Chadema kama ada , hii ni katika ule mpango Mkakati wa Operesheni Haki , ambapo zamu ya Shinyanga ni 28/5/2021 .
Sasa huu hapa ndio Msafara wao kuelekea huko , jionee mwenyewe .
View attachment 1800682
Nyingine hii hapa
View attachment 1800687
Na wewe kama hutaki pita hivi....Hutaki unaacha
Safi sana MkuuVikao vya ndani vinaendelea kurindimishwa na Chadema kama ada , hii ni katika ule mpango Mkakati wa Operesheni Haki , ambapo zamu ya Shinyanga ni 28/5/2021 .
Sasa huu hapa ndio Msafara wao kuelekea huko , jionee mwenyewe .
View attachment 1800682
Nyingine hii hapa
View attachment 1800687
Mleta maada umeona msafara ni fahari zaidi kuliko kinachokwenda kuongelewa hukoVikao vya ndani vinaendelea kurindimishwa na Chadema kama ada , hii ni katika ule mpango Mkakati wa Operesheni Haki , ambapo zamu ya Shinyanga ni 28/5/2021 .
Sasa huu hapa ndio Msafara wao kuelekea huko , jionee mwenyewe .
View attachment 1800682
Nyingine hii hapa
View attachment 1800687
mtachoma sana mafuta kuongoza nchi hii msahau..................Vikao vya ndani vinaendelea kurindimishwa na Chadema kama ada, hii ni katika ule mpango Mkakati wa Operesheni Haki, ambapo zamu ya Shinyanga ni 28/5/2021.
Sasa huu hapa ndio Msafara wao kuelekea huko, jionee mwenyewe.
View attachment 1800682
Nyingine hii hapa
View attachment 1800687
Dah umejitokeza baada ya miaka saba ya kupoteaMsilalamike tena kuwa hamna demokrasia wala uhuru wa habari.
Dah umejitokeza baada ya miaka saba ya kupotea
Nina Sana yaaniVikao vya ndani vinaendelea kurindimishwa na Chadema kama ada, hii ni katika ule mpango Mkakati wa Operesheni Haki, ambapo zamu ya Shinyanga ni 28/5/2021.
Sasa huu hapa ndio Msafara wao kuelekea huko, jionee mwenyewe.
View attachment 1800682
Nyingine hii hapa
View attachment 1800687
Afadhali sana. Sasa mtakuwa hammlalamikii misafara mirefu ya CCM na Serikali. Mmekuwa ngoma droo!!!Vikao vya ndani vinaendelea kurindimishwa na Chadema kama ada, hii ni katika ule mpango Mkakati wa Operesheni Haki, ambapo zamu ya Shinyanga ni 28/5/2021.
Sasa huu hapa ndio Msafara wao kuelekea huko, jionee mwenyewe.
View attachment 1800682
Nyingine hii hapa
View attachment 1800687
Tume huru ni fairness hta kma ukishindwa..... Trump alicholilia ni zile kura za Mail Votes zaidi ya hapo alipewa fursa ya kupeleka ushahidi wa wizi but hakuwa na evidence za kutosha. Btw walikubali kura zihesabiwe upya n.k so at least hta kama hakukiri but aliridhika.Tume huru ni Kwa aliyeshinda, zaidi ya hapo ni kinyume chake
Ni nini maana ya tume huru??
Kwa Trampoo ndiko makao makuu ya tume huru kidunia, Ila aliposhindwa, hakuitambua tume huru
Ni lini CCM waliacha kuiba? CAG kila mwaka anakuta wizi toka enzi za JPM sasa kipya kipi..... The more mnamchafua mama ndio mnarahisisha njia ya CHADEMA 2025Pay master wa wizara ya fedha ambaye ni mchaga amekwapua zaidi ya billioni 1 ndani ya mwezi mmoja.
Kwani Chadema kama chama kipo kweli? Labda kama Saccos ni sawa kabisa. Umesikia Mwenyekiti wenu wa maisha amesema wana muda wa miezi sita hawajawalipa makamanda wao unategemea kuna chama hapo au?Si mlisema imeshekufa tulieni?
ANC wakati wa Harakati ilikuwa inalipwa na naniKwani Chadema kama chama kipo kweli? Labda kama Saccos ni sawa kabisa. Umesikia Mwenyekiti wenu wa maisha amesema wana muda wa miezi sita hawajawalipa makamanda wao unategemea kuna chama hapo au?