VIDEO: Msanii Roma na wenzake warejea rasmi uraiani. Kufunguka Jumatatu

Namshukuru Mungu kwa kuonekana kwao maaana huku mitaani maneno ya yalikuwa yamesha kuwa mengi kwa serikali. Mungu anaipenda serikali yetu. Hongera JPM kwa kuwa na wapelelezi walio bobea Mungu akubariki aminaa
Mungu wa Dar au ni Mungu yupi unayemshukuru?
 
Ili nalo neno.
 
Baada ya kupatikana msanii Roma na wenzio wataongea rasmi siku ya jumatatu
Hata ulimboka ilikuwa hivyo hivyo.. By the way mbona makonda sikumuona kwenda kuwapa pole pale oysterbay
 
Kwani kinachomfanya ashindwe kuongea yaliyomsibu leo (jumapili) ni nini mpaka tusubiri juma3. Kuna jambo zito nyuma ya pazia, na si bure. My take, Juma3 itafika na sinema itaendelea. Sasa hivi ni mwendo wa matukio aka headlines alimradi 2shindwe kujadili kwa kina mustakabali wa maendeleo ye2 kama Taifa.
 
Inaelekea pesa ndefu wamevuta hata Mimi nisingeongea... Hapo ndipo wanamshusha Nape ati raisi aunde tume?

Hawa wapumbavu wanacheza ngoma ya msubi nasi ndio tuna fuata midundo ya ngoma yenyewe... Akili ndogo kuongiza akili kubwa...
 
Wote mnaotaja jina la Mungu kwa kumuonea huruma huyu kijana ni wanafiki,wazandiki,pumbavu zenu,(sio tusi) huyu kijana katumika na Bashite, wote mnajua police wakiokoa watu waliotekwa ambavyo inavyokuwa, Siro angekuwa amefanya press mara elfu kumi
 
Hii inshu imejawa na Usaniii tu kwa vision yangu Mawili either Wametaka mzee wa Mtama leo asitokee kwa Front Pages za Magazeti
 
M14
 
Haswa ndiyo ilikuwa nia yao.
Sasa Raisi ni Muhimu sana Kumwajibisha Muwakilishi RC kwa haya yanayoendelea Tz inaelekea pabaya sana
Dar hio ndio mji Mashuri na engine ya Tanzania sasa kama Inaendeshwa na Huyo jamaa huoni ni Kuirudisha nyuma mana watendaji wote kuanzia Kina Sirro,OCd wanasikiliza Older tu kutoka kwa jamaa, Very sad
 
Aliyetekwa alikuwa Dr ulimboka.nyie MNA cheza na akili zetu
Njaa ni kitu kibaya sana boss sasa sijui Roma kapewa ngapi? Master mind wa Hio Mission amefeli sana na soon wakina Roma wataonekana kama toilet Paper tu, Worthless kabisa
 
Njaa ni kitu kibaya sana boss sasa sijui Roma kapewa ngapi? Master mind wa Hio Mission amefeli sana na soon wakina Roma wataonekana kama toilet Paper tu, Worthless kabisa
Wapuuzi sana.MTU anasema watapatikana kabla ya jumapili na kweli wamepatikana.utasema wametekwa hawa?
 
Wapuuzi sana.MTU anasema watapatikana kabla ya jumapili na kweli wamepatikana.utasema wametekwa hawa?
Ni Drama kukipoteza kwenye Media Mkutano Wa Nape Huko mtama, Leo Front page ni Roma tu mkuu, Bashite apo anaona amecheza vizuri karata yake, Ila itakula kwake huyo aliekubali Atumike kama kondomu
 
Muda ni mwalimu nguri, atatoboa siri zote. Tusubiri tu japo yaweza isiwe j3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…