Ww kweli mzee wa pesa kala sana kwa k-lynnKatombwa sana na Jaymo aliyetoa nyimbo ya pesa ya madafu.
Itakuwa ilikuwa ni drama za live show stejini by the way huyo teja aliidai pete yake ili auze akale ngadaHuyu TID nae ana uchumba sugu nakumbuka alimvisha pete ya uchumba girl friend wake aliyekuwa anaitwa KINANA tena kwa mbwembwe stejini TID alikuwa ana perform gafla mziki ukasimamishwa mdada akitwa akaja kwa mbwembwe akapigiwa goti "Kinana will you marry me" na pete ikavalishwa kidoleni sasa ni miaka kuni na ushee bado ndoa, mwee kweli haoni kasoro zake.
Huu ni ujinga wa karne, dume jinga kabisa hili
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwani huyu ni dume hata nguvu za kukaa anazo
Atakuwa alimpa 0713......................Wema akikupenda anakutunuku tuu mbona Jumbe yule hakuwa maarufu na alimkuna wema na wema akawa anamhudumia jamaa
Ndio hiyo hiyo mukulu...bado mie tu muona kinyaaaa...kwani wema ana kazi gani nyingine huko salidalama?
Aweke king'amuziDishi la TID limetikisika haki ya nani.