Video: Msiba Urusi, imepoteza kamanda mwingine kule Ukraine

Video: Msiba Urusi, imepoteza kamanda mwingine kule Ukraine

... kazi nzuri wananchi na jeshi la Ukraine japo ni ofisa wa rank ya chini - captain. Waueni popote waonekanapo kwenye viunga vya mitaa; mwageni damu zao kwa ujazo mwingi; pangeni maiti zao safu safu ni thawabu kuilinda nchi yenu dhidi ya mafashisti!
 
Haijatokea kwa muda mrefu kwa taifa kupoteza majenerali kama Urusi, ni hatari sana na hasara kubwa na aibu kuu....


Makamanda wa Urusi wanakufa, lakini anae ongoza kwa kulia lia na kuomba msaada ni Rais wa Ukraine, sasa kama mnaua makamanda na mna uhakika wa kushinda mnalia lia nini dunia ipinge vita? kuna vitu vinachekesha sana
 
Haijatokea kwa muda mrefu kwa taifa kupoteza majenerali kama Urusi, ni hatari sana na hasara kubwa na aibu kuu....



Putini kwisha habari yake jana karudishwa nyuma na kufurushwa West Ukraine 100kilometers, nadhani kile kibonyezo chake cha nuclear anakiweka tayari ground war ameshindwa mbaya sana, Ukrane baada ya ku-defend sasa wanashambulia wao na wapo kwenye maeneo ya 18
 
Back
Top Bottom