Kitu ambacho wengi hawajui ni kuwa Putin na Russia yake wamejiandaa kwa karubu miaka 20 kupambana na Marekani na nchi za magharibi...Kila angle wamejipanga iwe kwa sanctions na hata silaha....sehemu kubwa ya Askari wa Russia walioko Ukraine ni conscripts...kwa Tanzania tunawaita national service au JKT...amefanya hivyo makusudi...jeshi lake kwa maana ya professional soldiers anaisubiri NATO Kama wataleta za kuleta...ukweli ni kuwa kwenye Vita vya nyuklia hakutakuwa na mshindi ...wote watakufa tukiwemo sisi humu wa JF na ushabiki...Russia and USA Kila mmoja Ana silaha za nyuklia zinazoweza kuiangamiza dunia hi ten times...wote tutakuwa ashes..NATO wanajua hivyo na Russia inajua...but Russia inasema it has nothing cha kupoteza...Wa magharibi wana hofu kubwa na hali hii..