Video: Msiba Urusi, imepoteza kamanda mwingine kule Ukraine

Video: Msiba Urusi, imepoteza kamanda mwingine kule Ukraine

Haijatokea kwa muda mrefu kwa taifa kupoteza majenerali kama Urusi, ni hatari sana na hasara kubwa na aibu kuu....


Huo ni uongo, mpaka unamuua general inamaana umeteketeza brigade kibao, hizo ni propaganda tu.
 
Sanctions wanapigwa warusia wanaumia nchi za ulaya
Umesikia Ulaya wanazuiliwa kuchukua zaidi ya $10,000 kwa Bank? Ni wapi Ulaya wanashindwa kutransanct,umesikia Ulaya hawawezi kusafiri kwenda popote watakapo? Ni shirika lipi la ndege la Ulaya limeground ndege zake kisa hawawezi kufanya safari za Kimataifa? Ni nani kakwambia Ulaya wanakufa na baridi kisa Russia kapigwa stop kuuza gesi yake?
 
wenywe Ukraine hawafi??? cjawahi kuona wakitangaza hata mjeshi mmoja kwamba wako makini Sana? au wao vyuma

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Kufa Kwa wanajeshi wa Ukraine hilo kila mmoja alilitarajia na linatokea Sana Tu , hata hvyo Vifo vya wanajeshi wa urusi hasa high millitary officers at an alarming rate ndio linalostua watu ....!!
 
Kitu ambacho wengi hawajui ni kuwa Putin na Russia yake wamejiandaa kwa karubu miaka 20 kupambana na Marekani na nchi za magharibi...Kila angle wamejipanga iwe kwa sanctions na hata silaha....sehemu kubwa ya Askari wa Russia walioko Ukraine ni conscripts...kwa Tanzania tunawaita national service au JKT...amefanya hivyo makusudi...jeshi lake kwa maana ya professional soldiers anaisubiri NATO Kama wataleta za kuleta...ukweli ni kuwa kwenye Vita vya nyuklia hakutakuwa na mshindi ...wote watakufa tukiwemo sisi humu wa JF na ushabiki...Russia and USA Kila mmoja Ana silaha za nyuklia zinazoweza kuiangamiza dunia hi ten times...wote tutakuwa ashes..NATO wanajua hivyo na Russia inajua...but Russia inasema it has nothing cha kupoteza...Wa magharibi wana hofu kubwa na hali hii..

Hayo maandalizi ya miaka 20 yameharibiwa kwa kwa mwezi mmoja kwa ujinga wa kuingia kufanya mauaji ya kmbar kwenye nchi ya watu, hakutegemea itamgharimu hivi. Urusi imepoteza both tactically and strategically, inarudi nyuma na kuwa kwenye kundi la mataifa ya ulimwengu wa tatu na manyuklia yao ambayo kuyatunza itakua mtihani.
 
Putin alijidanganya sana kuivamia ukraine yeye alijua ukraine ni Sawa na shamba la miwa.
Na alijua ndani siku Tatu atakuwa amemaliza kufyeka miwa yote.
 
Back
Top Bottom