Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ifichwe kwanini? haya mambo hayana asili katika uislamu na sio waislamu wote wanaofanya ni masufi wazee wa kukata viuno kucheza ngoma hawa ndio kazi yao.Hii clip ina label ya tarehe 31 August 2001, ilikuaje ikafichwa muda woote huu? 😂
SahihiHaya mambo tumeyaeleza zaidi ya mara moja hapa jukwaani kuwa hayana asili katika uislamu ni watu wamejianzishia taratibu zao za kukera watu, kilichopasa ni kutoa adhana pekee mambo ya kitanda chako ndio kaburi lako na mengine hayana asili katika dini na tumeongea sana.
No kona konaa. Ka hit the mark, mengine mtajua wenyeweThis man was straight and assertive.
Nakubaliana na Sheikh mia kwa mia.
Adhana sio bidia usimuelewe vibaya ,bidia ni yale maneno baada ya adhana......
Hoja ya sheikh bado haujajibu...kule kubweka kama MBWA kumetokana na maandiko?Mchungaji hananja anasema kuhusu wanaobweka kuanzia ijumaa usiku mpaka alfjiri hatulali?
Wanajua kutishia sana..ukiambiwa kitanda ni kaburi unakurupuka kitandaniHaya mambo tumeyaeleza zaidi ya mara moja hapa jukwaani kuwa hayana asili katika uislamu ni watu wamejianzishia taratibu zao za kukera watu, kilichopasa ni kutoa adhana pekee mambo ya kitanda chako ndio kaburi lako na mengine hayana asili katika dini na tumeongea sana nadhani kuna uzi ulianzishwa na Nyafwili kuna comments nyingi mle.