Video: Msikilize Sheikh Saleh Zagar

Video: Msikilize Sheikh Saleh Zagar

Asalaam aleykum, hikma ya suala hili inaangukia katika kuhimizana katika kwenda kumswalia Allah, na si vinginevyo, dunia inabadilika, wanadamu wanakuwa wakahidi, watu wa sasa si watu wa enzi zile, hivyo hikma kuu kuwaamsha na kukumbushana kila wakati bila kuchoka!
 
Adhana sio bidia usimuelewe vibaya ,bidia ni yale maneno baada ya adhana......
Soma uelewe mkuu. Adhan inayokera watu ni bidaa. Lazima iwe na kiasi isiwe kero kwa wengine. Sijasema adhan ni bidaa
 
Soma uelewe mkuu. Adhan inayokera watu ni bidaa. Lazima iwe na kiasi isiwe kero kwa wengine. Sijasema adhan ni bidaa
Mkuu adhana inao kera watu ni ipi? Na isio kera ni ipi sidhani kama madui wa usilamu ata uswali kimya kimya bila hata kutangaza watapenda ibaada yako.
 


Niliandika huu uzi siku moja humu
 
Wanajua kutishia sana..ukiambiwa kitanda ni kaburi unakurupuka kitandani
Yaani mtu anatishwa na kukurupuka kisa kaambiwa hicho kitanda ni jeneza na kaburi lako? Halafu akishatishwa na kukurupuka, akifika msikitini anaambiwa akajilipue ili afe aende peponi akapewe bikira 72?
Hizi Dini ni aina ya Uraibu.
 
Umesikiliza na kutaza video!?hayo ni maneno ya sheikh sio ya mtoa hoja
Nimesikiliza kaka, lakini Sheikh anaweza kupotoka pia, angeweza kuwasilisha heading kwa namna nyingine huku alichokisema Sheikh kikibaki palepale.

Ni sawa na zile nyuzi za watu wanaomtukana Rais, huwa hatunukuu matusi kwenye heading ila content inawasilishwa kama ilivyo.
 
Ndugu zangu katika Imani huwa hawataki mabadiliko kabisa. ...Kuna Mambo lazima watu wakubali kubadilika. Hilo suala la azana sijui adhana liifanyika zamani kulikuwa hamna saa Wala simu....lakini wakati huu wa utandawazi Kuna alarm. Lkn hawataki kuelewa.
 
Wazee wa bikra 72 wanakuja kwa miondoko ya amapiano Mda sio mrefu kutufafanulia
Dunia haeshi maajabu. Imekuwa ni ustaarabu sasa kuoa mwanamke malaya. Mwanamke ambae katembea na kubadilisha zaidi ya wanaume 100. Na baada ya kutumika kote, ndipo anajitikeza ambae atatoa mahari kubwa.

Ni maajabu ya kuona ni ustaarabu kuwa na kizazi ambacho hakishkiti kuona mwaname anaolewa na kuchanga kuona wanawake wanaolewa. Tena wanawake wakiwa bikra.

Ustaarabu wa mtu hutokana na falsafa.

...... na ndio hatari ya falsafa
 
Siyo wwe ndiyo umechelewa kuiona kwa kua 2001 ulikua huna smart phone!?
Inawezekana , na sio tu sikua na smart phone hata hizo smartnohone tu Bingo hii sidhan kama zilikuwepo maana hata Facebuk haikuwepo wala jamii forums haikuwepo, 2001 nulikua darasa la 5 primary school
 
Back
Top Bottom