Video: Msikiti wapigwa chini baada ya handaki la kigaidi kugunduliwa humo

Video: Msikiti wapigwa chini baada ya handaki la kigaidi kugunduliwa humo

Told you I don't bother following those links, as long as you're a beliver of these genocidal ideologies, there is nothing you can do to make me see you any different than a bloodsucking zombi

main-qimg-59203067b5263c40a82fd971fefe35de


1704189070194.jpeg
 


Nakuwekea kwa kiswahili


Katika gazeti la kimataifa la, Newsweek October 31, 1988, p. 44., lililobeba makala yenye kichwa 'Oo Bwana, Nani Aliyeandika Dua hii?'

kikosi cha wanatiolojia kutoka katika dhehebu kuu la kiporestanti, pamoja na Wasomi muhimu wa Biblia wa Kikatoliki nchini Marekani, baada ya ukaguzi wa kina wa miswada ya mwanzo kabisa ya Agano Jipya, wamehitimisha kuwa maneno pekee ya "Dua ya Bwana" Luka 11:2 na Mathayo 6:9-10. ambayo yanaweza kunasibishwa barabara na Yesu Kristo ni "baba".

Na hilo, ni kwa mujibu wa wasomi hao wa kanisa, maneno yote yaliyokuja baada ya ibara ya kwanza, "Baba yetu", ambayo ni dua muhimu sana ya Kikristo, yaliongezwa karne nyingi na waandishi wa kanisa walionukuu miswada ya mwanzoni ya Injili.

Shirika la U.S News & World Report, linanukuu zaidi kuwa, kikundi cha wasomi kilisema kuwa zaidi ya asilimia 80 ya maneno yaliyoandikwa katika Injili kumhusu Yesu huenda ni ya kubuniwa.

Miongoni mwa hayo likiwemo neno la Ekaristi ya Yesu katika Karamu ya Mwisho ("Chukua, kula. Huu ni mwili wangu…") na kila neno aliloambiwa kuwa amelitamka toka msalabani.

Dr. J.K. Elliott, wa kitengo cha Thiolojia na Tafiti za Kidini wa Chuo Kikuu cha Leeds, ameandika makala iliyochapishwa katika jarida la The Times, London (10 Septemba, 1987) yenye kichwa "Kutazama mizizi ya Biblia".

Ndani ya makala yake, ameeleza kuwa: "Zaidi ya miswada 5,000 inayojumuisha Agano Jipya lote au sehemu yake iliyo katika lugha ya asili.

Miswada hii imepangika katika madaraja ya kuanzia karne ya pili hadi kuvumbuliwa kwa uchapaji. Imekisiwa kuwa hakuna hata watu wawili wanaoafikiana kwa kila kitu.

Bila shaka, maandishi yote ya mkono yanastahili kuwa na makosa ya bahati mbaya wakati wa kunukuu. Hata hivyo, katika kazi za kitiolojia si jambo la kushangaza kuwa mabadiliko ya kufikirika sana yaliingizwa ili kuondosha au kubadili maelezo ambayo waandishi wanayaona kuwa hayapendezi. Pia kulikuwa na mwelekeo wa wanukuzi wa kuongeza ufafanuzi au fasiri.

Mabadiliko ya hadhari yanadhaniwa kuwa yameingizwa katika zama za mwanzo kabla ya kuanzishwa hali ya kanisa ya Agano Jipya.

Mwandishi aliendelea kufafanua kuwa "hakuna hata mswada mmoja wenye matini isiyobadilishwa kutoka katika uasilia wa ukamilifu wake, na kwa hiyo, "hakuna awezae kuchagua mswada wowote miongoni mwa miswada hiyo na kuuamini kwa imani ya pekee eti mswada huo ndio wenye ukiritimba wa kuwa ndio maneno asilia ya watunzi."
 
SALAMU ZA B.NETANYAHU
MWAKAMPYA

NAOMBA WAISRAEL MTAMBUE TUNAPAMBANA NAMMAGAIDI NA MWAKA 24 WOTE HUU TUMEPAMBANA KUIMALIZA HAMAS NA KUSAFISHA GAZA NA UCHAFU WOTE
MNALO
 
أنت ثرثرة

Is Tel Aviv the gay capital of the world?​


Tel Aviv Pride is among the biggest annual pride events in the world and as of 2019, it is the biggest in Asia.​

By JERUSALEM POST STAFF FEBRUARY 14, 2023 20:24
 THE ANNUAL gay pride parade in Tel Aviv takes place, in June. There is a very real possibility that Tel Aviv as a gay capital of the world will soon become a thing of the past, says the writer. (photo credit: TOMER NEUBERG/FLASH90)
THE ANNUAL gay pride parade in Tel Aviv takes place, in June. There is a very real possibility that Tel Aviv as a gay capital of the world will soon become a thing of the past, says the writer. (photo credit: TOMER NEUBERG/FLASH90)
 
ليس لديك شيء، إنه عام آخر 2024 لكنك لا تزال غبيًا. العقل الفاسد يولد الاضمحلال

Matoleo ya Biblia ya Kingereza

Katika utangulizi wa toleo la Biblia linalotumika sana, la Revised Standard Version, mtunzi ameandika yafuatayo:

"Biblia ya Revised Standard Version, ni marekebisho yaliyoidhinishwa ya toleo la American Standard Version, lilochapwa 1901, na ambalo nalo pia lilikuwa ni marekebisho ya toleo la King James Version, lilochapwa 1611…

Toleo la King James Version lililazimika kushindana na Biblia ya Geneva Bible (1560) juu ya kutumiwa na watu wengi; lakini hatimaye lilienea, na kwa zaidi ya karne mbili na nusu hakuna tafsiri ya Biblia kwa Kingereza iliyoandikwa na kuidhinishwa.

Toleo la King James Version likawa ndilo "toleo lililoidhinishwa" kwa wanaoongea Kingereza…

Ndio, Toleo la King James Version lina dosari kubwa mno.

Kufikia katikati ya karne ya kumi na tisa, maendeleo ya tafiti za Kibiblia vilevile kugunduliwa kwa miswada mingi ambayo ni ya kale zaidi kuliko ile iliyotegemewa na Toleo la King James Version, yamefanya toleo hilo kuwa ni wazi kuwa lina dosari nyingi na mbaya mno na kusababisha kuitishwa kufanyika marekebisho ya tafsiri ya kingereza.

Kazi ikafanywa, kwa idhini ya Kanisa la Uingereza, mwaka 1870. Toleo la Biblia la English Revised Version lilichapwa mwaka 1881 – 1885; na Toleo la American Standard Version, lahaja zake zimejiingiza katika upendeleo wa wanazuoni wa Kimarekani walioshiriki katika kazi hiyo, nalo lilichapishwa mwaka 1901."

Toleo la King James Version la Agano Jipya liliegemea matini za kigiriki zilizovurugwa kimakosa, ikiwemo kujilimbikizia makosa ya karne ya kumi na nne ya kunukuu miswada.

Nalo kimsingi, lilikuwa ni matini ya Kigiriki ya Agano Jipya kama lilivyoandikwa na Beza, 1589, ambaye kwa ukaribu zaidi alifuata chapa hiyo ya Erasmus, 1516 – 1535, iliyoegemea juu ya miswada ya zama za kati.

Mswada wa kwanza na ulio bora zaidi miongoni mwa miswada minane aliyoishirikisha ulikuwa ni wa karne ya kumi, naye akautumia kidogo mno mswada huo kwa sababu unatofautiana sana na matini za kawaida zilizopokelewa;

Beza alipata miswada miwili ya thamani kubwa mno, ikiwa ni ya karne ya tano na ya sita, lakini aliitumia kidogo mno kwa sababu inatofautiana na matini iliyochapwa ya Erasmus."
 
Umesahau waislam wa Kondoa ni hatari sana wale
Waislamu wa kondoa ni hatari sana , ofisini kuna ka siku moja kila wiki tuleweka tuwe tunaletewa kitimoto tunakula wote , waislamu wengine walikuwa hawana shida na hawatumii kabisa ila yeye kidogo atuue , mwisho wa siku akaacha kazi
 
- “… Leo Nime kukamilishieni Dini yenu, na kukutimizieni neema Yangu, na Nime kupendeleeni Uislamu uwe Dini yenu…” [Quran 5:3]
Allah alikuwa anatumia kitu Cha Arusha mmea kutoka shamba la bibi?

Yupo surah ya 5 kakamilisha dini 😂😂 na mbele Kuna surah zaidi ya 100

Surah za kuanjia 6 kwenda mbele ni za Nini ? Kama dini imekamilika surah ya 5

Alieandika Koran alitakiwa kupekekwa mirembe 😂😂
 
Allah alikuwa anatumia kitu Cha Arusha mmea kutoka shamba la bibi?

Yupo surah ya 5 kakamilisha dini 😂😂 na mbele Kuna surah zaidi ya 100

Surah za kuanjia 6 kwenda mbele ni za Nini ? Kama dini imekamilika surah ya 5

Alieandika Koran alitakiwa kupekekwa mirembe 😂😂

Tatizo huelewi Quran iliteremshwa vipi ??

aliyetakiwa kupelekwa Mirembe ni huyu anayeamini mungu kubebwa na Shetani na kuonyshwa miji


1704195313616.jpeg
 
eunuch is a man who has been castrated, especially (in the past) one employed to guard the women's living areas in an Asian court. sasa sijui kwako inamaanisha ni shoga? Tumuulize mama yako ulipewa maziwa ya mnyama gani ulipo zaliwa, mdhalimu wewe

Labda wewe ni towashi wa kwanza katika kanisa lenu duniani , maana sijasikiapo kuwepo kwa mtu yeyote katika kanisa lolote aliyejiamulia au kufanywa towashi kwa mujibu wa tafsiri hiyo uliyoitoa 😛 😛
 
Hiyo ni tafsiri ya Dictionary Mjinga wewe,,,,,,,,,,Hasara kwa Mama yako kuzaa na kulea zombii

Si ndio kwa tafsiri hiyo , wewe ni towashi wa kwanza kwenye makanisa yote ulimwenguni ?
 
Ndio maana vijana tunaonekana hatufanyi kazi kwaajili ya Matahira kama nyie. Wanajamii Tukodi ata polisi wamchape chuma huyu Zombiii afu tuseme alikua Panya Road. Habarii kwishaa
tulia dawa ikuingie , mungu kupewa lift na shetani 😛 😛
 
Tatizo huelewi Quran iliteremshwa vipi ??
Ulitakiwa ujibu Allah ilikuwaje yupo surah ya 5 kakamilisha dini yake 😂😂😂 na Kuna surah zaidi ya 100 mbelee

Alitakiwa akamatwe apelekwe mirembe 😂
 
Back
Top Bottom