Video: Msikiti wapigwa chini baada ya handaki la kigaidi kugunduliwa humo

Ulitakiwa ujibu Allah ilikuwaje yupo surah ya 5 kakamilisha dini yake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na Kuna surah zaidi ya 100 mbelee

Alitakiwa akamatwe apelekwe mirembe πŸ˜‚
Achana na huyu jamaa zaidi atakupotezea muda. ni mtu aliekumbwa na maswahibu fulani (sitayataja hapa).
 
Told you I don't bother following those links, as long as you're a beliver of these genocidal ideologies, there is nothing you can do to make me see you any different than a bloodsucking zombi

Israelis are genocidal,the Palestinians are genocidal,so what is the difference,they are all evil.Even this is difficult for you to see?
 
Siyo misikiti tu, hakuna nyumba ya Ghaza ambayo haijaunganishwa na handaki.

Unafikiri Wapalestina Mwemyzi Mungu asingewapa uwezo huo ungekuwa unawasikia leo?

Ma shaa Allah, kila unapotaja handa9i unatakiwa uwasifie Wapalestina.

Unafahamu kuwa Yesu alikuwa MpalestinΓ ?
 
Ulitakiwa ujibu Allah ilikuwaje yupo surah ya 5 kakamilisha dini yake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na Kuna surah zaidi ya 100 mbelee

Alitakiwa akamatwe apelekwe mirembe πŸ˜‚

Nikikuuliza hiyo aya iliteremshwa lini na wapi utasema nini ??
 

Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana.

Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu.

Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo
38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia.

Na kama Wakristo mnang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi mjuwe kwamba Biblia inasema:

β€œMwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano
wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Kazi kwenu kusuka au kunyoa na yesu wenu
 

Jana amepigwa naibu mkuu wenu....kaliwa, sasa hivi anafaidi mabikira.
 
Israelis are genocidal,the Palestinians are genocidal,so what is the difference,they are all evil.Even this is difficult for you to see?

You attempted to wipe them out, they're simply hunting down your ilks, and by the way if Israeld wanted to clean you, they'd easily carpet bomb whole of Gaza in minutes, they're just having to deal with your terrorists who are hiding behind children.

 
You do not wipe out evil by evil,you wipe out evil buy living by good example.Eye for an eye is a purely Satanic principle.
 
Anza kuchukia huku kwanza
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:



mungu wako huyo msukuma


Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…