KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Inasemekana kwamba tukio limetokea jana (20.2.2025) majira ya saa saba mchana.Mkoa wa Pwani, Kibaha, Njuweni, sheli ya Puma.
Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.
Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.
Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.
#########
JamiiForums imewasiliana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Salim Morcase kuhusu tukio hilo, amesema:
"Sina taarifa kamili juu ya tukio hilo, nami naliona tu, naomba mtupe muda tulifuatilie na tufanye uchunguzi wa kujua kilichotokea."
Soma:
www.jamiiforums.com
Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.
Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.
Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.
#########
JamiiForums imewasiliana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Salim Morcase kuhusu tukio hilo, amesema:
"Sina taarifa kamili juu ya tukio hilo, nami naliona tu, naomba mtupe muda tulifuatilie na tufanye uchunguzi wa kujua kilichotokea."
Soma:
Jeshi La Polisi Latolea Ufafanuzi Video iliyoonyesha bodaboda akikamatwa . Lasema Ni Mhalifu aliyekuwa anatafutwa sana kwa tuhuma mbalimbali za uporaj
Ndugu zangu Watanzania, Jeshi letu la Polisi Nchini limetoa ufafanuzi wa kina juu ya video mjongeo iliyokuwa ikisambaa mitandaoni ikionyesha dereva bodaboda au mtu mwenye pikipiki akikamatwa na watu waliovaa kiraia nakisha baadaye kupakizwa kwenye gari nyeusi na kuondoka naye. Jeshi letu la...