Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Huyu aliyesimama na Tshirt ya jeshi akamatwe kueleza kwanini amevaa sare za jeshi,na kama ni mwanajeshi kwanini hakutoa msaada kumlinda raia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mana tunavyosema CCM wameifanya Tanzania kuwa kama Mobutu alivyoifanya Congo mtuelewe.Ni kweli but nani ana hamu ya kufa kwa niaba ya mwingine?
Walking zombies!!!Alafu mnashangaa Congo inavyovamiwa na M23 alafu Wanajeshi wao Wanakimbia.
CCM kweli wameshalifanya taifa letu sasa kuwa kama Congo. Watanzania wamekuwa wajinga na makondoo hadi wanashindwa kumtetea mtu anayefanyiwa udhalimu mchana kweupe.
Hilo Taifa limekufa tayari.
KUna Prado imepita hapo je ilikuwa ni team moja na wakamataji?Inasemekana kwamba tukio limetokea jana (20.2.2025) majira ya saa saba mchana.Mkoa wa Pwani, Kibaha, Njuweni, sheli ya Puma.
Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.
Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.
Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.
Uchaguzi wa mwaka huu many more will suffer, more will die.Hatari sana
Mianaume ya Dar mila chips hii. M23 wakitimba mademu watabakwa mchana kweupe nakwambia😬😬😬jamaa mchukua kideo anamkataza mwenzake kwenda kusadia
sema kasaidia kiasi kuona yanayo endelea nchi hii
Hii nchi ishakuwa jehanam 🚮😔Hatari sana
Mm namsifu aliyechukuwa hiyo video maana amerahisisha watu kufuatilia na kupitia jukwaa hili wadau watatupatia jina LA mmiliki wa gariHii video ina maswali mengi sana
M23 wakiingia hata 100 tu. Tanzania inapinduliwa. Sio wananchi tu🤣🤣🤣Mianaume ya Dar mila chips hii. M23 wakitimba mademu watabakwa mchana kweupe nakwambia😬😬😬
Jomo kenyata alishasema:Hivi watu walishindwa kabisa kuwashughulikia hao watekaji.mnashindwa hata kutoboa matairi
Hii nchi na Congo saivi zimetofautiana majina tu. Yajayo yanafurahisha.M23 wakiingia hata 100 tu. Tanzania inapinduliwa. Sio wananchi tu🤣🤣🤣
Thats mafia style not a democratic ways!!!Washkaji wa TRA wababe sana
Hatari sana
Thats mafia style not a democratic ways!!!
Yeah hii pia ni hatua nzuriSio mabaya kuna mtu amerecord na ameshare. Kwa upande wangu nirespect hicho.