Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

speculation zako haziendani na nguvu iliyotumika.Tunatarajia wanausalama wetu wawe na uwezo mkubwa wa kudhibiti hisia kuliko unavyodhani.

Unachokiongelea wewe ni sawa mtu mzima kubishana na mtoto kisha apandwe na hasira amzibue mtoto makofi kama anapigana na mtu mzima mwenzake.
Wanausalama wasio na akili wanatoa silaha kiholela hivyo?

Hapo watu wangeangusha mvua ya mqwe kuwafanyia mob resistance unafikiri wangebaki hapo?

Rejea tukio la Tegeta kwa ndevu.
 
Boda boda hah... Hawa jamaa nao huwa wako na matukio mengi ya siri ikiwemo kubembea wake za watu.

Kitu kilichonishangaza jamaa mwenye hiyo shumizi nyekundu hakuwa na wasiwasi na wala hakuwa na haja ya kujificha ili raia wasimuone.

Hili tukio linaonekana ni lakijamii kwa maana ya kwamba watu wameamua kuoneshana ubabe fulani hivi.

Ila all in all Tanzania now imekua kama South ya miaka hiyo kwa maana mtu anaweza akauliwa hapo na wala watu wasiwe na time nae, kwa maana hao jamaa waliopo hapo wote wangeamua kwenda eneo la tukio kiuungwana ili wahoji ni nini dhima ya vurugu hizo nadhani hao watekaji wangepata ubaridi kidogo.

Nadhani pia ni kwakua watized hatujazoea hizo mikikimikiki ya gun ndio maana mtu akiitoa tu hata kama ni toi(kwa maana ndani Haina kitu) watu wanarudi nyuma wenyewe.
 
wake za watu sumu vijana bodaboda,
unadhani unaiba kwa siri, matokeo yake unapotezwa hadharini dah, inasikitisha sana na inafedhehesha mno,

Tamaa ni kitu mbaya sana ndugu zangu 🐒
 
Inasemekana kwamba tukio limetokea jana (20.2.2025) majira ya saa saba mchana.Mkoa wa Pwani, Kibaha, Njuweni, sheli ya Puma.

Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.

Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.

Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.


Bashungwa ameanza pale alipoishia Masauni
 
Mmeshimdwa hata kutumia Lori lenu kugombea hiyo gari Yao ndogo wakakoswa namna ya kutóka??.

Mmeshindwa hata kuwagonga na gari Mmoja wao akavunjikia hapohapo??.


Dar na Pwani kumamaye zenu, mnakula mayai ya kisasa kiasi kwamba Hamna akili za Kupambana na changamoto chapchap.

Sasa kama Hilo wanawafanyia Mchana, ni vipi kuhusu usiku??.
 
Wanausalama wasio na akili wanatoa silaha kiholela hivyo?

Hapo watu wangeangusha mvua ya mqwe kuwafanyia mob resistance unafikiri wangebaki hapo?

Rejea tukio la Tegeta kwa ndevu.
Wanausalama walioiva hawatoi silaha hovyohovyo ila mtu kutoa mibundiki mikubwa katika nchi kama yetu hadharani inatia shaka.

Tunafanya mambo ya kwenye movie ambayo wenzetu wanafanya kunogesha hizo movie.Wamatumbi huku tunafanya kweli😀😀😀

Mambo ya ubabe wa Anodi kwenye tambara la Judgement day( THE TERMINATOR)😀😀😀.Wazungu hakuna siku watatupa heshima ya kututambua kama WATU KAMILI,we are a total joke to be equated to them!!!Mimi mwenyewe ningekuwa wao ningewabagua watu weusi.Its total insane and SAVAGE to be A BLACK PERSON!!!
 
Mmeshimdwa hata kutumia Lori lenu kugombea hiyo gari Yao ndogo wakakoswa namna ya kutóka??.

Mmeshindwa hata kuwagonga na gari Mmoja wao akavunjikia hapohapo??.


Dar na Pwani kumamaye zenu, mnakula mayai ya kisasa kiasi kwamba Hamna akili za Kupambana na changamoto chapchap.

Sasa kama Hilo wanawafanyia Mchana, ni vipi kuhusu usiku??.
Dar mtu unaweza ukamgongea demu wake na akachill tu🤣🤣🤣🤣
 
Watu watatafuta angle ya kujustify hili tukio la utekaji, naamini mgao tayari.
"Alichukua mke wa mtu"
"Bodaboda wezi"

Wazee hawataki kazi usiku tena. Wanajiamini sana.
 
Watanzania again, huyo kabaki peke yake hapo. Wanashindwa mkamata na ateswe aseme kisa cha kumteka, wanapompeleka? Hata simu yake kuikagua watu aliowasiliana nao, ingekuwa hatua nzuri ya kuanza nayo. Naona kingine, kutembea na silaha nowadays ni muhimu.
silaha za aina gani visu, au chuma ya moto?
 
Wanausalama walioiva hawatoi silaha hovyohovyo ila mtu kutoa mibundiki mikubwa kwq nchi yetu hadharani inatia shaka.Tunafanya mambo ya kwenye movie ambayo wenzetu wanafanya kunogesha hizo movie.Wamatumbi huku tunafanya kweli😀😀😀
Sawa kabisa, mwanausalama aliyeiva anakuwa na emotional intelligence na hufanya calculated moves sio kutoa silaha kiholela na kujiexpose .
Mambo ya ubabe wa Anodi kwenye tambara la Judgement day( THE TERMINATOR)😀😀😀.Wazungu hakuna siku watatupa heshima ya kututambua kama WATU KAMILI,we are a total joke to be equated to them!!!Mimi mwenyewe ningekuwa wao ningewabagua watu weusi.Its total insane and SAVAGE to be A BLACK PERSON!!!
Hao jamaa ninaamini wamekuta wanaowazunguka na kuchukua video ni waoga sehemu nyingine ingekuwa kama Tegeta kwa ndevu.
 
Mkikusanyika watu 50 au 100 hapo watawaua wote?

Hao watekaji hapo kama risasi wali,o nazo sidhani kama zinazidi 10 kama wana bastola
Hii level watanzania hatujafika mkuu, ukweli ndo huo
 
Alafu mnashangaa Congo inavyovamiwa na M23 alafu Wanajeshi wao Wanakimbia.

CCM kweli wameshalifanya taifa letu sasa kuwa kama Congo.
Watanzania wamekuwa wajinga na makondoo hadi wanashindwa kumtetea mtu anayefanyiwa udhalimu mchana kweupe?

Hilo Taifa limekufa tayari.
Shida ujui kama huyo jamaa ni jambazi au mla wake za watu ili anakwenda kupelekewa kiboga
 
Back
Top Bottom